Nina stress nimekuwa mlevi na malaya, naona nitakufa

Daah naelewa unayopitia. ilishawahi kunipata hii miaka fulani niliacha kazi nikawa sina direction yoyote, asee nilikua mtu wa bar tu na ma barmaid, nililoose direction totally mpaka akiba yangu ilipoisha nikaanza kuingia na mikopo asee sitaki kukumbuka. ila Mungu si athumani niko level now ule mwaka ndio nautumia kama password zangu yaani ntaanzaje kuusahau!
 
Pole
 
"Too much expectations is disappointment"

Mkuu umejaribu hata kupita kwenye majeneza ukajua bei atleast ukajinunulia hiyo zawadi kabla hizo 20miho hazija kata
 
We braza km mm tu nikiwa na stress huwa nachakata mbususu mnoo hata ajichanganye bibi kizee nafagia ila mm mitungi sigusi
Dah..mna nguvu nyie..sisi wengine tukiwa na stress hata mbo.lo huwa haidindi kabisa.
 
Swadaqta!
 
Kwanza hizi comment unasoma ukiwa umelewa au ukiwa timamu??
 
jaribu kwenda benki ukakope tena milion 80
 
Start preparing yourself. Weka mambo sawa and write your will
 
Endelea kulea vifaranga vyako,maana akili yako kama kuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…