Nina stress nimekuwa mlevi na malaya, naona nitakufa

Kumbe watu mnawapitia sana Ma-Bar maid??? Hatari sana....
 
We braza km mm tu nikiwa na stress huwa nachakata mbususu mnoo hata ajichanganye bibi kizee nafagia ila mm mitungi sigusi
Kwa hiyo hasira zote unaamishia kwenye Mbususu???? Hapo unawashughulikia mpaka watoe machozi kwa hasira.....Kama nakuona vile....
 
Unajidekeza tu hakuna cha stress hapo. Watu kushushwa cheo ndo unadeka hivyo,ukifukuzwa kazi sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…