Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninachokijua ni kwamba waswahili wana msemo wao:Muongo mpe chai ya bakuli kubwa la bati(asimalize haraka na aungue kwa mahangaiko)apate kusema yote.1. Chai (uongo) asili yake ni nini ?
2. Kwanini mliwaza chai pale mtu anaposema uongo ?
3. Kwani chai na uongo vina uhusiano gani ?
NB: Nasikia ubongo wa binadamu unaogelea kwenye fluid fulani sijui inaitwaje na haujawa attached kwenye kitu chochote.
Ahsante.
1. Chai (uongo) asili yake ni nini ?
2. Kwanini mliwaza chai pale mtu anaposema uongo ?
3. Kwani chai na uongo vina uhusiano gani ?
NB: Nasikia ubongo wa binadamu unaogelea kwenye fluid fulani sijui inaitwaje na haujawa attached kwenye kitu chochote.
Ahsante.
Ni tea time!View attachment 3096644
Mbona kama uzi umejaa chai tupu ...
Siwezi kuoa shetani kisa chakula 😂😂😂Nipo kwenye 1 na 2.....🙃
Kumbe unaona. Bado mpaka useme