Nina swali Hapa jamiiforums, Hivi kwanini mtu akidanganya au akisema kitu kinachoashiria uongo mnasema CHAI ?

Ninachokijua ni kwamba waswahili wana msemo wao:Muongo mpe chai ya bakuli kubwa la bati(asimalize haraka na aungue kwa mahangaiko)apate kusema yote.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…