Nina tabia ya kupenda vitu vikubwa na vyenye rangi nyeusi

Nina tabia ya kupenda vitu vikubwa na vyenye rangi nyeusi

Asamaleko wadau

Mimi nina hii tabia ya kupenda vitu vikubwa na vyeusi. Pengine kama inakuwa na sababu fulani naweza kupata jibu hapa.

Tangu enzi nanunuliwa mavazi nilikuwa napenda sana nguo nyeusi,
Viatu ndiyo kabisa..

Lakini pia tangu nimeanza kuwa mimi Mfumo wa maisha yangu haujawahi kubadilika kwenye hii hali.

Yaani kamavazi napenda yale makubwaa halafu ni meusi kuanzia suruali hadi flana.

Simu pia napenda iwe kubwaa halafu nyeusi, hata kama ni kitochi napenda kutumia zile kubwa zinazosemwa ni za wakulima.

Mwanamke pia napenda Awe mkuubwa halafu mweusi.

Chombo cha usafiri pia (pikipiki) napenda iwe kubwa halafu nyeusi (niliwahi kumiliki sina kwa sasa)

kwa ujumla hii hali ninayo karibia kwenye kila kitu.
Sio tatizo kwangu ila nataka nijuwe tu pengine kuna kitu kinasababisha hiyo hali.
Mawazo yalienda sehemu nyingine kbsa ...dah ngoja nikatubu tu 😝😝😝
 
Asamaleko wadau

Mimi nina hii tabia ya kupenda vitu vikubwa na vyeusi. Pengine kama inakuwa na sababu fulani naweza kupata jibu hapa.

Tangu enzi nanunuliwa mavazi nilikuwa napenda sana nguo nyeusi,
Viatu ndiyo kabisa..

Lakini pia tangu nimeanza kuwa mimi Mfumo wa maisha yangu haujawahi kubadilika kwenye hii hali.

Yaani kamavazi napenda yale makubwaa halafu ni meusi kuanzia suruali hadi flana.

Simu pia napenda iwe kubwaa halafu nyeusi, hata kama ni kitochi napenda kutumia zile kubwa zinazosemwa ni za wakulima.

Mwanamke pia napenda Awe mkuubwa halafu mweusi.

Chombo cha usafiri pia (pikipiki) napenda iwe kubwa halafu nyeusi (niliwahi kumiliki sina kwa sasa)

kwa ujumla hii hali ninayo karibia kwenye kila kitu.
Sio tatizo kwangu ila nataka nijuwe tu pengine kuna kitu kinasababisha hiyo hali.
(Mwanamke pia napenda Awe mkuubwa halafu mweusi.)
Hapo juu tupo wote
 
Ungekua mwanamke ningekupa zawadi nyingine kubwa nyeusi
downloadfile-13.jpg
 
Asamaleko wadau

Mimi nina hii tabia ya kupenda vitu vikubwa na vyeusi. Pengine kama inakuwa na sababu fulani naweza kupata jibu hapa.

Tangu enzi nanunuliwa mavazi nilikuwa napenda sana nguo nyeusi,
Viatu ndiyo kabisa..

Lakini pia tangu nimeanza kuwa mimi Mfumo wa maisha yangu haujawahi kubadilika kwenye hii hali.

Yaani kamavazi napenda yale makubwaa halafu ni meusi kuanzia suruali hadi flana.

Simu pia napenda iwe kubwaa halafu nyeusi, hata kama ni kitochi napenda kutumia zile kubwa zinazosemwa ni za wakulima.

Mwanamke pia napenda Awe mkuubwa halafu mweusi.

Chombo cha usafiri pia (pikipiki) napenda iwe kubwa halafu nyeusi (niliwahi kumiliki sina kwa sasa)

kwa ujumla hii hali ninayo karibia kwenye kila kitu.
Sio tatizo kwangu ila nataka nijuwe tu pengine kuna kitu kinasababisha hiyo hali.
Kwenye rangi hakuna shida ila kuvaa manguo makubwa ndo kwenye shida hapo 😝
 
Basi tatizo unalijua mkuu
Unasema nalijua kwa sababu nimeuliza juu ya kurogwa mkuu?
Nimeuliza kwa mshangao tu maana hii hali nimekuwa nayo tangu nikiwa mdogo kama nilivyo andika hapo juu.

Kuna wawili sijuwi wamesema inaweza kuwa ni stress, siwapingi ila pia ninayo haki ya kuwailiza, kama hizo stress nilikuwa nazo tangu nikiwa dogo.
 
Ili mtu ujue anaumwa, lazima anyeshe dalili...

Ukirogwa; unakuwa umefunikwa. Yaani upo gizani.
Watu wabaya wanakuchezea watakavyo.

Fanya ibada utakasike.. bila shaka kuna mambo yako ya msingi yanachamoto.

Sasa wewe ona sifa kwa kujiona Mniga wa Kimarekani huku nafsi yako ikiwa mashakani.
 
Kwenye rangi hakuna shida ila kuvaa manguo makubwa ndo kwenye shida hapo 😝
😂😂😂 haimaanishi navaa muda wote mavazi ya aina hiyo, pia haimaanishi sivai mavazi ya rangi nyingine kama walivo tafsiri watu wengine hapo juu.

Ila napenda sana, na nikivaa hivyo najiona ndiyo nimemaliza.
 
Back
Top Bottom