min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Utani tu mkuu 😅Wewe ndiyo umemsemea jamaa, wewe tena ndiyo unaniambia nikinukishe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utani tu mkuu 😅Wewe ndiyo umemsemea jamaa, wewe tena ndiyo unaniambia nikinukishe.
mkuu unapenda mabiringanya?Poa Kiongozi nitaingia huko, kama sitapata majibu ya kuridhasha hapa
Mawazo yalienda sehemu nyingine kbsa ...dah ngoja nikatubu tu 😝😝😝Asamaleko wadau
Mimi nina hii tabia ya kupenda vitu vikubwa na vyeusi. Pengine kama inakuwa na sababu fulani naweza kupata jibu hapa.
Tangu enzi nanunuliwa mavazi nilikuwa napenda sana nguo nyeusi,
Viatu ndiyo kabisa..
Lakini pia tangu nimeanza kuwa mimi Mfumo wa maisha yangu haujawahi kubadilika kwenye hii hali.
Yaani kamavazi napenda yale makubwaa halafu ni meusi kuanzia suruali hadi flana.
Simu pia napenda iwe kubwaa halafu nyeusi, hata kama ni kitochi napenda kutumia zile kubwa zinazosemwa ni za wakulima.
Mwanamke pia napenda Awe mkuubwa halafu mweusi.
Chombo cha usafiri pia (pikipiki) napenda iwe kubwa halafu nyeusi (niliwahi kumiliki sina kwa sasa)
kwa ujumla hii hali ninayo karibia kwenye kila kitu.
Sio tatizo kwangu ila nataka nijuwe tu pengine kuna kitu kinasababisha hiyo hali.
Hapana siyapendi.mkuu unapenda mabiringanya?
ni makubwa na ni meusi.
(Mwanamke pia napenda Awe mkuubwa halafu mweusi.)Asamaleko wadau
Mimi nina hii tabia ya kupenda vitu vikubwa na vyeusi. Pengine kama inakuwa na sababu fulani naweza kupata jibu hapa.
Tangu enzi nanunuliwa mavazi nilikuwa napenda sana nguo nyeusi,
Viatu ndiyo kabisa..
Lakini pia tangu nimeanza kuwa mimi Mfumo wa maisha yangu haujawahi kubadilika kwenye hii hali.
Yaani kamavazi napenda yale makubwaa halafu ni meusi kuanzia suruali hadi flana.
Simu pia napenda iwe kubwaa halafu nyeusi, hata kama ni kitochi napenda kutumia zile kubwa zinazosemwa ni za wakulima.
Mwanamke pia napenda Awe mkuubwa halafu mweusi.
Chombo cha usafiri pia (pikipiki) napenda iwe kubwa halafu nyeusi (niliwahi kumiliki sina kwa sasa)
kwa ujumla hii hali ninayo karibia kwenye kila kitu.
Sio tatizo kwangu ila nataka nijuwe tu pengine kuna kitu kinasababisha hiyo hali.
Ungekua mwanamke ningekupa zawadi nyingine kubwa nyeusi
Hapo ndiyo usiguse kabisa, tena uweke mtindo mbwa, sisi wenye viba100 kiwe kinatematema ah..Mleta maada pia anapenda makalio makubwa na meusi
👍👍👍Kwa kifupi unaonekana unapenda wanawake weusi alafu wakubwa
Basi tatizo unalijua mkuuNdio nilirogwa tangu nikiwa mdogo?
Wakina nani?Wanakuja pm
Kwenye rangi hakuna shida ila kuvaa manguo makubwa ndo kwenye shida hapo 😝Asamaleko wadau
Mimi nina hii tabia ya kupenda vitu vikubwa na vyeusi. Pengine kama inakuwa na sababu fulani naweza kupata jibu hapa.
Tangu enzi nanunuliwa mavazi nilikuwa napenda sana nguo nyeusi,
Viatu ndiyo kabisa..
Lakini pia tangu nimeanza kuwa mimi Mfumo wa maisha yangu haujawahi kubadilika kwenye hii hali.
Yaani kamavazi napenda yale makubwaa halafu ni meusi kuanzia suruali hadi flana.
Simu pia napenda iwe kubwaa halafu nyeusi, hata kama ni kitochi napenda kutumia zile kubwa zinazosemwa ni za wakulima.
Mwanamke pia napenda Awe mkuubwa halafu mweusi.
Chombo cha usafiri pia (pikipiki) napenda iwe kubwa halafu nyeusi (niliwahi kumiliki sina kwa sasa)
kwa ujumla hii hali ninayo karibia kwenye kila kitu.
Sio tatizo kwangu ila nataka nijuwe tu pengine kuna kitu kinasababisha hiyo hali.
Unasema nalijua kwa sababu nimeuliza juu ya kurogwa mkuu?Basi tatizo unalijua mkuu
😂😂😂 haimaanishi navaa muda wote mavazi ya aina hiyo, pia haimaanishi sivai mavazi ya rangi nyingine kama walivo tafsiri watu wengine hapo juu.Kwenye rangi hakuna shida ila kuvaa manguo makubwa ndo kwenye shida hapo 😝