Nina tabia ya kupenda vitu vikubwa na vyenye rangi nyeusi

Nina tabia ya kupenda vitu vikubwa na vyenye rangi nyeusi

Ili mtu ujue anaumwa, lazima anyeshe dalili...

Ukirogwa; unakuwa umefunikwa. Yaani upo gizani.
Watu wabaya wanakuchezea watakavyo.

Fanya ibada utakasike.. bila shaka kuna mambo yako ya msingi yanachamoto.

Sasa wewe ona sifa kwa kujiona Mniga wa Kimarekani huku nafsi yako ikiwa mashakani.
Nyiee.. njooni muone Satan Huku anahubiri. (Jokes)

Mkuu hakuna mahali nimeandika naona sifa, pia hakuna mahali nimeandika najiona mniga wa marekani.

Mchango wako wala hauna tatizo kulingana na unachokianimi, ila umeubebesha mzigo hewa.
 
Back
Top Bottom