Ili mtu ujue anaumwa, lazima anyeshe dalili...
Ukirogwa; unakuwa umefunikwa. Yaani upo gizani.
Watu wabaya wanakuchezea watakavyo.
Fanya ibada utakasike.. bila shaka kuna mambo yako ya msingi yanachamoto.
Sasa wewe ona sifa kwa kujiona Mniga wa Kimarekani huku nafsi yako ikiwa mashakani.