SHOOyaKIBABE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,181
- 1,714
Tell us more mkuu, kuna kitu hapo cha kujifunzaNi kipindi katika makuzi kitapita, ila uamuzi utakaochukua sasa ndio utakuwa haiba yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tell us more mkuu, kuna kitu hapo cha kujifunzaNi kipindi katika makuzi kitapita, ila uamuzi utakaochukua sasa ndio utakuwa haiba yako
[emoji1] [emoji1] unamsaidiaje sasa ustadhat? [emoji102]Unajini mahaba
Hahahaah,aendelee tu kukaa pekeake atapona[emoji1] [emoji1] unamsaidiaje sasa ustadhat? [emoji102]
Kwa hiyo ulivyokua unakaa peke yako, ulikua unajiongelea mwenyewe?MIMI PIA NILIKUA NA TABIA KAMA HIYO ILINIATHIRI KWA MUDA MREFU HAD IVI SASA NAJIKUTA NIKIKAA IWE PEKE YANGU AU HT KWENYE UMATI NAJIKUTA NAZUNGUMZA PEKE YANGU HAD NAJUTA.. NILIACHA HAD MASOMO JAPO NOW NIMERUD SCHOOL BT KILA MTU ANANIONA WA AJABU.. NKO TOFAUT SANA NA NAIS na ukicheki mimi ni bado janki sana, NIMEKWAA NA MATATIZO AMBAYO SIJUI KM NTAKUJ PONA...... nakushaur uondokane na jambo hlo kw namn yoyote km linaathir uwezo wako wa kiutendaj
PRE-DEPRESSION MKUUMental disorder hiyo DEPRESSION
MKUU HILO NI TATIZO LA WATU WENGI NA HUWA BAYA PALE UNAPO HISI KUWA UWAPO PEKEYAKO,KUTOKUPIGA SIMU NA KUTO WASIILIANA NDIO TABIA YAKO HALISI KUMBE HAPANA NI TATIZO. TAFUTA MSAIKOLOJIA NA UKIMKOSA NITAFUTE TAKUSAIDIA NA UKIMPATA USIKUBALI KUANZA KUTUMIA DAWA KABLA YA KUKUPATIA TIBA YA MANENO NA VITENDO.aisee wakuu hata mimi niko hivo hivo sa mimi tatizo kubwa limekuwa kutopata hamu ya kupiga simu kwa watu na ndugu zangu mpaka niwe na shida nao na mara nyingi wananilaumu kuwa siwapigii simu, muda mwingi niko nyumbani nahisi kama ninatatizo; aisee wakuu tusaidieni.
Na mm nmezaliwa 10may nko ivo kabisaUtakuwa umezaliwa kati ya
April 20 - tar 20 May
You're depressed....Mimi ni genius kiasi. Nimefaulu sana masomo ya sekondari, nina first class degree kwenye bachelor yangu ya kwanza, kwasasa nasoma masters na semesters zangu zinang'aa vizuri
Kuna ile mada ya vijana hebu itembeleeTell us more mkuu, kuna kitu hapo cha kujifunza