Kumbe kwenye uzinzi upo loooh Mrudie MunguMkuu huwa sipigi puchu. Nina mademu lukuki mpka majirani zangu niliopanga nao hatuelewani. Lakini sitaki demu akae kwangu kabisa. Nataka akija asepe fasta baada ya sex.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kwenye uzinzi upo loooh Mrudie MunguMkuu huwa sipigi puchu. Nina mademu lukuki mpka majirani zangu niliopanga nao hatuelewani. Lakini sitaki demu akae kwangu kabisa. Nataka akija asepe fasta baada ya sex.
Mkuu naomba ufafanuzi kwenye hizo tareh hapo ina udhibitisho wa kisayansi? Maana mimi pia nimezaliwa between tareh za hapo alafu ninatabia za hivyo...je ni kweli watu waliozaliwa hizo tareh wapo hivyo??Utakuwa umezaliwa kati ya
April 20 - tar 20 May
Hahahaha ama kweli!Ndio vile tena nimejitegesha nakuahidi pia sitokuangusha na nitajipa Kazi ya kukunywesha juice na kukulisha chakula like baby na Kama samaki namtoa kabisa miba..
Alama ya Ng'ombe the providerMkuu naomba ufafanuzi kwenye hizo tareh hapo ina udhibitisho wa kisayansi? Maana mimi pia nimezaliwa between tareh za hapo alafu ninatabia za hivyo...je ni kweli watu waliozaliwa hizo tareh wapo hivyo??
Jina langu baya ila mahaba matamu na pia ulimi wangu hauna kipele hivyo unateleza mshazari na hauumizi Kama madini ya galibosi.... Au nikuimbie wimbo isis unielewe....ungekuwa Karibu ningejing'ata kucha... Basi ndio am waiting in vain for your love IsisHahahaha ama kweli!
Walahi wewe kiboko, hahahahaJina langu baya ila mahaba matamu na pia ulimi wangu hauna kipele hivyo unateleza mshazari na hauumizi Kama madini ya galibosi.... Au nikuimbie wimbo isis unielewe....ungekuwa Karibu ningejing'ata kucha... Basi ndio am waiting in vain for your love Isis
Hizi tarehe zinamfanya mtu akae peke yake? Fafanua kwa faida ya wanajukwaaUtakuwa umezaliwa kati ya
April 20 - tar 20 May
HahahahaWewe jinsia gani? Mi naona ni dalili za ubinafsi.
Walai ISIS nimekuja kwako twice nabisha mlango umefungwa na ndani papo kimya Bado nipo sijatoka nime gandamiza kifua mlangoni kwako PM usikie midundo ya moyo inavyolia.. Tafadhari nifungulie PM peke yangu... Nimekuletea zawadi ya UaWalahi wewe kiboko, hahahaha
hata mm nina hiki kitu asehNilishafikiria kuleta uzi km huu;niko chuo kimoja hapa dar na yote uliyoandika ndo natak yawe hivyo!
Sema mm muda mwingi huwa nasoma vitu vingi sana na kutafakari sana mpk najikuta nataka kuwa mimi tu!
Hapo umenena mm mwenyew modoIla wengi wenye matatizo kama haya huwa hatunenepi