Nina tatizo gani mimi? Napenda sana kuwa peke yangu

Nina tatizo gani mimi? Napenda sana kuwa peke yangu

Yani katika wotee mliosema mnapenda kuwa wenyewe tu,hampendi kuongea na watu,mnajifungia ndani sijui mnaona kero kuongea n.k n.k nimeuliza mna watoto au ndoa naona hamna aliye nijibu.
Nimegundua wengi hamna ndoa mpo katika stage za mahusiano ya kawaida tu,wala hamjabahatika kuwa na watoto na kama mnao hamjaweka wazi wala hamna connection ya kihisia yeyote na watoto wenu au mtoto wenu.Believe me hata ukiwa INTROVERT kiasi gani ukiwa na emotional connection au na upendo kwa mwanao...unabadilika kabisa hutopenda eti kuwa mbali naye,kumkwepa wala kumkalia kimya so nafikiri hii tabia wengi mtaiacha mkijaaliwa watoto au mwenza wa ndoa unayempenda kwa dhati.
Wengi mmejisample kama 'ma-jinias' ila sio kwamba kweli mna ujiniasi wowote ila mpo deceptional na kuwa nyie ni high performers tu hata level ya u-genious hamjafikia acheni masihara jamani na hilo neno genious!Kuwa intellectually bright sio kwamba wewe ni genious kwanza katika sample la darasa lolote lazima kuwa na high performers hata katika darasa la watu wenye akili ndogo sana.
All in all nyie ni hiyo ni tabia ya kawaida tu katika stage fulani za maisha na huwa dominant mtu unapokuwa wenyewe.Ila wengine mmezidi uantisocial mpaka mmekaribia kuwa na roho mbaya!
 
Sina mke wala mtoto
Ohoo,kumbe ulinijibu...
usijali ukimpata mtoto,utabadilika tu utapenda kuwa na mtu karibu.Usipobadilika basi ndio tabia yako hiyo,hujawahi kuona watu wapo peka peka mpaka wanajifia wenyewe chumbani kwao hamna anayegundua .
 
Habari zenu wanabodi,

Kwa miaka ya hivi karibuni nimekuwa napenda sana kuwa peke yangu. Iwe kazini, shuleni (nasoma chuo), kwenye sherehe, nyumbani au sehem yoyote ile. Hata nikiwa na mgeni home kwangu natamani aondoke.

Haijalishi nigeni wa kiume au wa kike. All i need is to be alone and make my own reflection of this life. Nimekuwa out of touch kwenye communication na mpenzi wangu na amekuwa mtu wa kulalamika tu. Ndugu zangu na wanafamilia wangu ndio kabisaaa mpka wanitafute wenyewe.

Nimekuwa mvivu wa kuongea kwenye simu. Mtu akinipigia nataka aongee shida yake chap chap na akate simu.

Je, hili ni tatizo gani wakuu? Msaada please.
mkuu kuwa makini mara nyingi husababishwa na kiwango kikubwa cha msongo wa mawazo.nenda kawaone wsna saikolojia wslip karibu nawe jinsi ya kuepukana na hali hiyo. kifupi unaelekea kwrnye DEPRESSION
 
pole
Yaa ni tatizo mkuu mimi pia ninalo hilo ila linatokana na sababu mbalimbali kwa upande wangu mimi tatizo hilo Lillian mwaka 2003 hadi leo ndo nimekua adicted kabisa.

Kikubwa kilichosababisha ni kukosa upendo katika familia yangi haswa upande wa baba wakati kipindi hicho nipo secondari kidato cha pili ni wakati ambao nilikua nahtaji sapoti ya baba kimasomo kuanzia,pesa,hadi ushauri lakin hakujali.

Nilikosa michango nikawa nashinda ndani tu shule siendi akatokea mwalimu wangu mmoja wa msingi akanilipia michango nikaendelea na shule toka kipindi hicho niliumia moyo na sikujua maana ya upendo.

Niliajiriwa mwka2012-lakin kazini nilikuwa man alone na baada ya miaka miwili nikaenda chuo saiv nipo chuoni mwaka wa tatu ila sipendi mazoea na mtu kiviile. Nina mchumba ambae kiukweli siwezi kaaa nae zaid ya masaa matatu tutagombana akiaanza vijistory vyake vya ooo mara hivi kiukweli sina upendo tena hata furaha ya maisha sina.

Makuzi ya utoto yasipoenda vizuri ni hatari sana. Hauko peke yako mkuu!
sana mkuu ila ukipata mchumba mwelewa atkuokoa ktk hilo
 
Habari zenu wanabodi,

Kwa miaka ya hivi karibuni nimekuwa napenda sana kuwa peke yangu. Iwe kazini, shuleni (nasoma chuo), kwenye sherehe, nyumbani au sehem yoyote ile. Hata nikiwa na mgeni home kwangu natamani aondoke.

Haijalishi nigeni wa kiume au wa kike. All i need is to be alone and make my own reflection of this life. Nimekuwa out of touch kwenye communication na mpenzi wangu na amekuwa mtu wa kulalamika tu. Ndugu zangu na wanafamilia wangu ndio kabisaaa mpka wanitafute wenyewe.

Nimekuwa mvivu wa kuongea kwenye simu. Mtu akinipigia nataka aongee shida yake chap chap na akate simu.

Je, hili ni tatizo gani wakuu? Msaada please.
Utakua genious wewe
 
Nikiwa pekeangu napenda kujisomea vitabu mbalimbali, kuperuzi mtandaoni, kuandika stories na kulala.
Mimi hapo napenda kuperuzi mtandao kuangalia TV na kulala... Pia napenda ngono yaani nikipata Manzi lazima nalambe tatu, napenda sana haiba hii sioni kama ni tatizo
 
Habari zenu wanabodi,

Kwa miaka ya hivi karibuni nimekuwa napenda sana kuwa peke yangu. Iwe kazini, shuleni (nasoma chuo), kwenye sherehe, nyumbani au sehem yoyote ile. Hata nikiwa na mgeni home kwangu natamani aondoke.

Haijalishi nigeni wa kiume au wa kike. All i need is to be alone and make my own reflection of this life. Nimekuwa out of touch kwenye communication na mpenzi wangu na amekuwa mtu wa kulalamika tu. Ndugu zangu na wanafamilia wangu ndio kabisaaa mpka wanitafute wenyewe.

Nimekuwa mvivu wa kuongea kwenye simu. Mtu akinipigia nataka aongee shida yake chap chap na akate simu.

Je, hili ni tatizo gani wakuu? Msaada please.
Pole sana mkuu, angalia uisje ukawa na ugonjwa wa upweke
 
Habari zenu wanabodi,

Kwa miaka ya hivi karibuni nimekuwa napenda sana kuwa peke yangu. Iwe kazini, shuleni (nasoma chuo), kwenye sherehe, nyumbani au sehem yoyote ile. Hata nikiwa na mgeni home kwangu natamani aondoke.

Haijalishi nigeni wa kiume au wa kike. All i need is to be alone and make my own reflection of this life. Nimekuwa out of touch kwenye communication na mpenzi wangu na amekuwa mtu wa kulalamika tu. Ndugu zangu na wanafamilia wangu ndio kabisaaa mpka wanitafute wenyewe.

Nimekuwa mvivu wa kuongea kwenye simu. Mtu akinipigia nataka aongee shida yake chap chap na akate simu.

Je, hili ni tatizo gani wakuu? Msaada please.
Kuna jirani yangu alikua natabia kama yako juzi tumemzika aliishia alijinyonga
 
aisee wakuu hata mimi niko hivo hivo sa mimi tatizo kubwa limekuwa kutopata hamu ya kupiga simu kwa watu na ndugu zangu mpaka niwe na shida nao na mara nyingi wananilaumu kuwa siwapigii simu, muda mwingi niko nyumbani nahisi kama ninatatizo; aisee wakuu tusaidieni.
 
Aisee kumbe tuko wengi. Mimi nasoma masters hapa morogoro. Nikiwa alone nasoma sana vitabu pia. Sipendi wageni, sipendi group discusions ila naenda ili kumaintain collegiality tu. Uzuri ni kwamba nafanya vizur darasani kwa kipindi chote cha masomo yangu.
Sifa ya kwanza ya genius huwa hawana mambo ya group discussion hapo nakupa √
Tuna hali inayotaka kufanana, sidhani kama ni tatizo hili. Mimi sikumbuki ilianza lini ila tu nilikua nikajikuta hivyo. Sina wasiwasi na hii tabia na sifikirii kuitafutia tiba. Otherwise labda utuambie una dalili za depression mkuu.
 
Back
Top Bottom