yaa ni tatizo mkuu mimi pia ninalo hilo ila linatokana na sababu mbalimbali kwa upande wangu mimi tatizo hilo Lillian mwaka 2003 hadi leo ndo nimekua adicted kabisa kikubwa kilichosababisha ni
kukosa upendo katika familia yangi haswa upande wa baba wakati kipindi hicho nipo secondari kidato cha pili ni wakati ambao nilikua nahtaji sapoti ya baba kimasomo kuanzia,pesa,hadi ushauri lakin hakujali nilkosa michango nikawa nashinda ndani tu shulr siendi akatokea mwalimu wangu mmoja wa msingi akanilipia michango nikaendelea na shule toka kipindi hicho niliumia moyo na sikujua maana ya upendo, niliajiriwa mwka2012-lakin kazin nilikua man alone na baada ya miaka miwili nikaenda chuo saiv nipo chuoni mwaka wa tatu ila sipendi mazoea na mtu kiviile nina mchumba ambae kiukweli siwezi kaaa nae zaid ya masaa matatu tutagombana akiaanza vijistory vyake vya ooo mara hivi kiukweli sina upendo tena hata furaha ya maisha sina, makuzi ya utoto yasipoenda viziri ni hatari sana. huko peke yako mkuu