Nina tatizo gani mimi? Napenda sana kuwa peke yangu

Nina tatizo gani mimi? Napenda sana kuwa peke yangu

Habari zenu wanabodi.
Kwa miaka ya hivi karibuni nimekuwa napenda sana kuwa peke yangu. Iwe kazini, shuleni (nasoma chuo), kwenye sherehe, nyumbani au sehem yoyote ile. Hata nikiwa na mgeni home kwangu natamani aondoke.

Haijalishi nigeni wa kiume au wa kike. All i need is to be alone and make my own reflection of this life. Nimekuwa out of touch kwenye communication na mpenzi wangu na amekuwa mtu wa kulalamika tu. Ndugu zangu na wanafamilia wangu ndio kabisaaa mpka wanitafute wenyewe.

Nimekuwa mvivu wa kuongea kwenye simu. Mtu akinipigia nataka aongee shida yake chap chap na akate simu.
Je hili ni tatizo gani wakuu? Msaada please.
Dah! Upo kama Mimi yani ninawakera sana watu pale wanaponitafuta kwenye simu alafu nataka awe straightforward. Utakuta namuwahi kwa kumwambia "Sema" yani naskip hata salamu
 
Ikitokea mtu akaumiza hisia zako kwa kipindi hiki, jitahidi ukae mbali na sumu ya panya na kamba za katani
 
Mimi pia Nina tatizo la kutaka kuwa peke angu mda Mwingi. Kwa mfano nimekutana na mtu ninayemfahamu njiani.na akataka kuongozana nami. Nipo tayari kumdanganya kuna sehemu napitia ili aondoke tu. Au rafiki yangu aniambie nakuja kwako nipo tayari kumwambia sipo. Ili tu nikae mwenyewe.mpaka najishangaaga
Hahahahaha mnanifurahisha maIntrovert wenzangu!
 
yaa ni tatizo mkuu mimi pia ninalo hilo ila linatokana na sababu mbalimbali kwa upande wangu mimi tatizo hilo Lillian mwaka 2003 hadi leo ndo nimekua adicted kabisa kikubwa kilichosababisha ni
kukosa upendo katika familia yangi haswa upande wa baba wakati kipindi hicho nipo secondari kidato cha pili ni wakati ambao nilikua nahtaji sapoti ya baba kimasomo kuanzia,pesa,hadi ushauri lakin hakujali nilkosa michango nikawa nashinda ndani tu shulr siendi akatokea mwalimu wangu mmoja wa msingi akanilipia michango nikaendelea na shule toka kipindi hicho niliumia moyo na sikujua maana ya upendo, niliajiriwa mwka2012-lakin kazin nilikua man alone na baada ya miaka miwili nikaenda chuo saiv nipo chuoni mwaka wa tatu ila sipendi mazoea na mtu kiviile nina mchumba ambae kiukweli siwezi kaaa nae zaid ya masaa matatu tutagombana akiaanza vijistory vyake vya ooo mara hivi kiukweli sina upendo tena hata furaha ya maisha sina, makuzi ya utoto yasipoenda viziri ni hatari sana. huko peke yako mkuu
Pole kwa kweli!
 
Mwenyewe niko hivyo, na nina enjoy kuwa hivyo sijui kwanini.

Nikiwa na Watu wala siinjoi saana
 
Habari zenu wanabodi.
Kwa miaka ya hivi karibuni nimekuwa napenda sana kuwa peke yangu. Iwe kazini, shuleni (nasoma chuo), kwenye sherehe, nyumbani au sehem yoyote ile. Hata nikiwa na mgeni home kwangu natamani aondoke.

Haijalishi nigeni wa kiume au wa kike. All i need is to be alone and make my own reflection of this life. Nimekuwa out of touch kwenye communication na mpenzi wangu na amekuwa mtu wa kulalamika tu. Ndugu zangu na wanafamilia wangu ndio kabisaaa mpka wanitafute wenyewe.

Nimekuwa mvivu wa kuongea kwenye simu. Mtu akinipigia nataka aongee shida yake chap chap na akate simu.
Je hili ni tatizo gani wakuu? Msaada please.
Kwani kupenda sana kuwa peke yako ni tatizo?

Kwanini unafikiri ni tatizo, limekucost nini?

Mara nyingine ni vizuri kuwa peke yako kuliko kuwa karibu na binadamu wanafiki.
 
Yani wewe ni mwenzangu ninatabia kama zako,kila siku watu wananisema lakini sijabadilika najitahidi sana ila nashindwa,ingawa nie hili tatizo ni la muda mrefu toka nimeanza kujitambua
 
Depression inakunyemelea,jichanganye na watu.Kama ni mkristu pendelea kwenda kusali kanisani au mahubiri ya injili unapokuwa na nafasi badala yakukaa peke yako.Shetani anapenda sana kuitumia hiyo nafasi kukupa maamuzi yasiyo faa.
 
Hizo ni dalili za kwamba wewe ni genious!
Kuna uwezekano mkubwa pia kuwa uko prone kupata ugonjwa wa Depression...
Umeongea kitu cha kweli kabisa....... huyu bwana anatakiwa apate msaada wa haraka wa kisaikolojia ili kumuweka sawa kwa maana Tanzania ukiwa genius kuna hatari kubwa sana ya kupata depression maana uwezo wa akili yake unakuwa hautumiki kwenye kuleta maendeleo so anapatwa na hali hiyo.
 
Hata mimi nina hiyo tabia na nliianza tangia nasoma Secondary, na naipenda sana cause "ITS FUN" inanifanya niwe huru na nisizoeane sana na watu.! Trust me kuzoeana na watu kuna cost sana.! Piga story mara chache sana na watu, binadamu hawana hiyana... but nipo close na JF ndo watu wangu wa karibu[emoji110]
468fb655f00b4fb8dff770b2fa05c235.jpg
 
Yaa ni tatizo mkuu mimi pia ninalo hilo ila linatokana na sababu mbalimbali kwa upande wangu mimi tatizo hilo Lillian mwaka 2003 hadi leo ndo nimekua adicted kabisa.

Kikubwa kilichosababisha ni kukosa upendo katika familia yangi haswa upande wa baba wakati kipindi hicho nipo secondari kidato cha pili ni wakati ambao nilikua nahtaji sapoti ya baba kimasomo kuanzia,pesa,hadi ushauri lakin hakujali.

Nilikosa michango nikawa nashinda ndani tu shule siendi akatokea mwalimu wangu mmoja wa msingi akanilipia michango nikaendelea na shule toka kipindi hicho niliumia moyo na sikujua maana ya upendo.

Niliajiriwa mwka2012-lakin kazini nilikuwa man alone na baada ya miaka miwili nikaenda chuo saiv nipo chuoni mwaka wa tatu ila sipendi mazoea na mtu kiviile. Nina mchumba ambae kiukweli siwezi kaaa nae zaid ya masaa matatu tutagombana akiaanza vijistory vyake vya ooo mara hivi kiukweli sina upendo tena hata furaha ya maisha sina.

Makuzi ya utoto yasipoenda vizuri ni hatari sana. Hauko peke yako mkuu!


Hii inaukweli ndani yake, wazazi huwa wanachangia hii hali ya mtu kutaka kuwa kivyake......malezi ya mtoto huwa yanaimpact sana siku za usoni akiwa anaanza maisha yake binafsi.......umeongea ukweli dhahiri kabisa.
 
Back
Top Bottom