Nina tatizo gani mimi? Napenda sana kuwa peke yangu

Nina tatizo gani mimi? Napenda sana kuwa peke yangu

Hapo kuna mengi umechukua mengi mazuri, umejitambua na kuamua kujireshape for the better of yourself, vizuri sana
Jitahidi uwe na marafiki wachache positive ones
Kuhusu libido ni kwa vile umri unaruhudu unakula vizuri na huna stress nyingi hivyo it's natural
Ahsante mkuu.

Sent from my SAMSUNG-SM-G900A using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wanabodi.
Kwa miaka ya hivi karibuni nimekuwa napenda sana kuwa peke yangu. Iwe kazini, shuleni (nasoma chuo), kwenye sherehe, nyumbani au sehem yoyote ile. Hata nikiwa na mgeni home kwangu natamani aondoke.

Haijalishi nigeni wa kiume au wa kike. All i need is to be alone and make my own reflection of this life. Nimekuwa out of touch kwenye communication na mpenzi wangu na amekuwa mtu wa kulalamika tu. Ndugu zangu na wanafamilia wangu ndio kabisaaa mpka wanitafute wenyewe.

Nimekuwa mvivu wa kuongea kwenye simu. Mtu akinipigia nataka aongee shida yake chap chap na akate simu.
Je hili ni tatizo gani wakuu? Msaada please.

uñatatizo la kuwa 'apathy' na ili upone na kuwa 'empathy'...

zingatia 'dini' yako,kama unayo! au hudhuria michezo kadri iwezekanavyo;

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Congrats for being an INTROVERT..

Hilo sio tatizo unless limesababishwa na kitu kama family problems au loneliness..

Kuwa introvert sio kuwa lonely.. ni kupenda kuwa alone.. and you enjoy it so much unaishia kuchukia social gatherings..

Welcome to the group guys..
Have been reading articles about introvert and extrovert but what happens to me is very strange. Back in the days sikuwa hivi kabisa. I was a man of people. I was a baller and I hanged out with friends and family members. Am still looking for answers. Hiki kinachonitokea ni nini?
 
Everybody in lifetime once in a while needs to be alone. Hua na enjoy sana sometimes kua alone, me, myself and I. Na pale napohitaji company of some people hua sisiti kuwatafuta.. Wasipopatikana basi simu inahusika charting, talking, etc au sometimes kujitoa out mwenyewe. Na kuna wakati nikipata wageni na enjoy afu namis kua alone again.. Wakiondoka full kujiachia.. All in all loneliness feelings should be conquered..and so does depression.
Thank you mkuu. Nimekupata sana
 
Mimi pia nilikuwa na marafiki wengi na ndugu, kila j2 au jmosi ilikuwa ni cookout nyumbani kwangu, lakini kama 5yrs ago ndiyo nikaanza kujitenga na kwa kweli nina amani kuliko enzi ya marafiki na mandugu, maana kulikuwa na unafik na uwivu wa kupindukia!
Loooh!Hupendi hata ndugu?
Nikudadavulie kidogo...

Upweke sio kutokua na watu waliokuzunguka bali ni kutokua karibu na wewe...

Huo sio ipweke ni hali yako inayokupa furaha maana..maana furaha jipe mwenyewe usisubiri kupewa sababu ukipewa utakua umefurahishwa na utakua hujafurahi...
 
Congrats for being an INTROVERT..

Hilo sio tatizo unless limesababishwa na kitu kama family problems au loneliness..

Kuwa introvert sio kuwa lonely.. ni kupenda kuwa alone.. and you enjoy it so much unaishia kuchukia social gatherings..

Welcome to the group guys..
Well said
 
Habari zenu wanabodi.
Kwa miaka ya hivi karibuni nimekuwa napenda sana kuwa peke yangu. Iwe kazini, shuleni (nasoma chuo), kwenye sherehe, nyumbani au sehem yoyote ile. Hata nikiwa na mgeni home kwangu natamani aondoke.

Haijalishi nigeni wa kiume au wa kike. All i need is to be alone and make my own reflection of this life. Nimekuwa out of touch kwenye communication na mpenzi wangu na amekuwa mtu wa kulalamika tu. Ndugu zangu na wanafamilia wangu ndio kabisaaa mpka wanitafute wenyewe.

Nimekuwa mvivu wa kuongea kwenye simu. Mtu akinipigia nataka aongee shida yake chap chap na akate simu.
Je hili ni tatizo gani wakuu? Msaada please.
Depressive mood disorder so you can consult daktar wa magonjwa ya akili for help
 
Back
Top Bottom