Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

Wewe huyoπŸ™‚πŸ˜„ kwenye ubora wako
 
ila unazingua ujue, visima pro max ndio vikoje?
 
Wakuu salam,

(Kingmaja)
Naombeni ushauri wenu utanifaa sana maana niko kwenye wakati mgumu. Nina tatizo la kuchelewa au kutofika kabisa kileleni ninaposhiriki mapenzi. Ndani ya wiki mbili hizi nimegegeda Mara tatu lakini hakuna wazungu kabisa mpaka bi dada anagoma kuendelea na show.

Siku ya kwanza nimegegeda kwa masaa mawili mashine bado inadai, mechi inaisha saba bila godoro halifai limeloa haswa. Mara mbili za mwisho nimepiga karibia lisaa na nusu hakuna maajabu godoro kama kawaida nitalala chini.

Hii hali inanichanganya sana nisaidieni maana bi dada anataka biashara yetu iishie hapa mimi bado nampenda. Niweke wazi nilikua mdau wa chaputa ingawa nimerudisha kadi muda mrefu. Kwa sasa nimekwama wadau nisaidieni.

Natanguliza shukrani
 
Unataka ufike ndani ya muda gani. Yote ni hvyo hvyo hata la kwanza?
 
Mwambie akuweke kidole wakati wa tendo,
Haraka sana utamaliza.

[emoji477][emoji507]
 
Kiongozi hi hari asikuambie mtu. Mimi mwenyewe nina shida ya kuchelewa kumwaga au nisimwage kabisa. Ila cha kushangaza nikipiga nyeto nawai kumwaga. Kiukweli sio mpigaji wa nyeto mara kwa mara tangu nisikie nyeto ina madhara. Nishawai kumueleza daktari akaniambia yawezakana testerone zangu ziko chini akanishauri nitumie protini kwa wingi. Nikajitahidi kula protini hari inatulia kwa muda mchache halfu inajirudia, lakini mwendo ndo ule ule nikipiga nyeto wazungu chapu wanakuja. Asikuambie mtu hii hari ni mbaya sana hasa pale unapotarijia kutaka kupata mtoto. Naomba msaada wako kama unaweza kunisaidia kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…