Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

Acha uongo, usitudanganye.

Sisi ni watu wazima humu.

Ukidanganya hautasaidiwa.

Wewe kijana mdogo wa miaka 18 -20 unadanganya humu inakuwaje
Inatokea aisee. Mi juzi tu hapo nimepiga kitu usiku kucha sikukojoa kabisa. Yaani nilikuwa napiga ila hakukua na hisia zozote za kukojoa.

Nilikuja kukojoa kesho yake usiku baada ya mapumziko ya mchana kutwa.
 
Mzuie shem asikuzibe na kidole kunako exhaust au Washa feni uweke nyuma yako usawa wa exhaust una tatizo la ku over heat au labda sensor fulani imekata.

Pata Ushauri huko JF DOCTOR
 
Utakuwa umetumia mkuyati bila wewe kujua, ama alkasusu ama energy drink ila kwa mwanaume rijali aliye kamilika, goli la kwanza huwa ndani ya dakika mbili mpaka tatu, la pili dakika 4 na la tatu huja ndani ya dakika 5 hapo anafunga shoo.
 
Angalia sana aina ya vyakula, vyenye ,afuta mengi hasa ya wanyama vinasababisha homonal immbalance hence libido inashuka hata usuguliwe vipi hufiki.
 
Aiseeinabidi utumie mbinu mbadala ya nje ndani kama mara 80 bila kupumzika, lazma atafika kibo peak.
 
Utakuwa umetumia mkuyati bila wewe kujua, ama alkasusu ama energy drink ila kwa mwanaume rijali aliye kamilika, goli la kwanza huwa ndani ya dakika mbili mpaka tatu, la pili dakika 4 na la tatu huja ndani ya dakika 5 hapo anafunga shoo.
Daaah kwa hiyo hapo ndani ya dakika 15 unarudisha chumba!?.
 
Utakuwa umetumia mkuyati bila wewe kujua, ama alkasusu ama energy drink ila kwa mwanaume rijali aliye kamilika, goli la kwanza huwa ndani ya dakika mbili mpaka tatu, la pili dakika 4 na la tatu huja ndani ya dakika 5 hapo anafunga shoo.
Kama hizi ndio sifa za mwanaume Rijali basi huko kwenu kumeisha serikalibitangaze janga la ukanda huo.
 
ongeza sauti.
Ongeza pumzi braza usikae kindenzi.

Umekaa miguu juu unalea kitambi afu unabana pua,'ongeza sauti'

😂😂😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Utakuwa umetumia mkuyati bila wewe kujua, ama alkasusu ama energy drink ila kwa mwanaume rijali aliye kamilika, goli la kwanza huwa ndani ya dakika mbili mpaka tatu, la pili dakika 4 na la tatu huja ndani ya dakika 5 hapo anafunga shoo.
Ongeza juhudi aisee hii performance ni mbovu sana itabidi tukufute uanachama wa UWABATA yaan dakika 12/13 goli 3 ??
 
Utakuwa umetumia mkuyati bila wewe kujua, ama alkasusu ama energy drink ila kwa mwanaume rijali aliye kamilika, goli la kwanza huwa ndani ya dakika mbili mpaka tatu, la pili dakika 4 na la tatu huja ndani ya dakika 5 hapo anafunga shoo.
Dah! inasikitisha sana[emoji26]
 
Back
Top Bottom