Nina tatizo la kujamba kila baada ya dakika mbili au Tatu naombeni msaada

Observe the circumference of your anus mkuu..labda imeongezeka kias flan
Imeongezeka yenyewe tu??hiyo haiwezekani possibly kaingiliwa bila ridhaa yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndo nyie mnakula tikitiki maji huku mnakunywa pepsi
 
Kwahiyo ni swii au mbuu?

Nauliza unajamba kwa nguvu au upepo wa kimya kimya?
 
Punguza ulaji wa protini ya mimea kwa wingi kama vile dengu njegere maharage nk.
 
Duuuu pole sana. Naweza kujaribu kukusaidia
 
Mkuu,hili tatizo ulipona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…