Hasira zangu zipo karibu sana napenda kuwa mtu Ambae sio wa kukasirika mara kwa mara ila inatokea tu ntakuwa mtu wa kupanic bila sababu tena hasira zikiisha najua kabisa nilikosea.
Hali hii inapelekea kuitwa mzee qa kumind.
1.tukikubaliana kuonana muda Fulani usipokuja ninakasilila ukichelewa nakasirika
2.nikiongea na mtu Ambae hanielewi nakasirika
3.siongei mara mbili ni moja nataka majibu.
Naombeni msaada hii ni Nini sipendi kabisa Tabia hii
Hali hii inapelekea kuitwa mzee qa kumind.
1.tukikubaliana kuonana muda Fulani usipokuja ninakasilila ukichelewa nakasirika
2.nikiongea na mtu Ambae hanielewi nakasirika
3.siongei mara mbili ni moja nataka majibu.
Naombeni msaada hii ni Nini sipendi kabisa Tabia hii