Nina tattoo makalioni, mume wangu kuniambia nitafute mwanaume mwingine

Nina tattoo makalioni, mume wangu kuniambia nitafute mwanaume mwingine

Siku zote mf!rw@j! lazima achore tattoo kwenye taco
 
Hata mwanamke uliyenaye pia ana maafa yake ya nyuma ambayo ww huyajui
Bora ambayo hujajui Kuliko hayo yalio matakoni kabisa Yani Kila Ukitomba tuu unayaona na lazima umuwaze Aliyeyachora hayo mavitu Mzee Usiombe yakukute alafu Uwe umeshatoa Mahali na Umefunga Ndoa Na Umewachangisha watu Michango Na maandalizi kibao Unakutana Na Ujinga Huo alafu Sas Wewe Mwanaume Unajiona Kabisa kwenye ujana huo Hujapitia Sanaa yani Ni Mtu unayejitambua na kujua Dhamani yako Tokea Unakuwa Lazima Upige Chini utafute Wa Kufanan Naye
 
Bora ambayo hujajui Kuliko hayo yalio matakoni kabisa Yani Kila Ukitomba tuu unayaona na lazima umuwaze Aliyeyachora hayo mavitu Mzee Usiombe yakukute alafu Uwe umeshatoa Mahali na Umefunga Ndoa Na Umewachangisha watu Michango Na maandalizi kibao Unakutana Na Ujinga Huo alafu Sas Wewe Mwanaume Unajiona Kabisa kwenye ujana huo Hujapitia Sanaa yani Ni Mtu unayejitambua na kujua Dhamani yako Tokea Unakuwa Lazima Upige Chini utafute Wa Kufanan Naye
Aisee kuonjana kabla ya ndoa n muhimu sana na pia kujua background ya mtu n muhimu mana anaweza akawa malaya aliekubuhu then anakuja kwako kupumzika na utampa matunzo ety kisa hujui background yake 😂
 
Tatizo lako limeisha hilo
Niambie lama ni za mto au za kubabuliwa ngizi au za kuchora tu.
Kazi imeisha hiyo nakufutia ila kwa hela yako kutegemea na kubwa na eneo. Sasa ujibu
 
Wazee Wa Wazani Walikuwa na Akili Sanaa Kabla ya kuoa mwanamke lazima Umjue na Familia yeke Uijue walikuwa Sahihi Sanaa sasa Huu Uzungu Wa Sasa hivi ndio Unaowafelisha Vijana
 
EMBU OA HUYU CHA WOTE HALAFU BAADA YA MIAKA MIWILI NJOO UTUPROVE WRONG, IMANI YAKO INAONEKANA KUBWA SANA UNAPINGANA NA UKWELI.

HEBU WEWE JITOSE UJE UTUPE MREJESHO HUENDA WAHENGA HAWAKULIONA HILI JAMBO KWA KINA NA WALIKURUPUKA KUTUKATAZA KUOA USED BUSYBADIES.


MKUU me mwenyewe ni muumini wa kuwa na bidhaa mpya kutoka duniani ila katika hili Iyo bidhaa mpya iwe na msingi wa NENO la MUNGU bila hivyo afadhali bidhaa ya mtumba iliyokubali kuacha dunia kwaajili ya ndoa na familia kuliko kuchukua bidhaa mpya lakini ina kiburi, TAMAA na jeuri utajuta hiyo Ndio ilikuwa point yangu
 
Pole sana mtafute tu yule aliyekuchora ndiyo anajuwa ukweli wote. Mwanaume kuowa mwanamke mwenye tatu hadi sehemu za siri kuolewa ni ngumu sana.
 
Kama wale wa massage parlour, yaani mkaka anakuchua mpaka juu ya kuta za kinena🤔, nilisisimka na kupatwa na hali fulani ya kuhitaji tendo sema nashukuru Mungu niliepuka jaribu hili gumu.
Nakumbuka nililala chali, akaingiza mikono kushika maziwa yangu, nikamwambia kaka huku hapana ndio akageukia kwenye kuta za uke.

Ila ule msisimko nilioupata, acha tu serikali ifungie baadhi ya massage centre.
pole!
 
Jamaa anaona aibu kukupa talaka sababu familia yake itamshangaa.
Vuta subra pengine ametegesha ma spy wa kukuchunguza ili akitoa talaka iwe na sababu kuliko sababu hiyo.
Nina imani anaweza kukuzoea sababu wenye nia ya ndoa huwa na lengo la familia na wewe ni Mheshimiwa ambaye ana uhakika utaighramia in case yeye akitangulia.
Tulia hivyo hivyo,akikuacha jiandae uwe single mama kama akina Jokate.
Wanaume wa kukuzalisha tupo wengi tu.
 
Mtafute mchoraji mwanamke,akikuacha huyu ukimpata mwengine useme aliyekuchora ni mwanamke UNLESS umechorwa picha ya UUME.
pili pale watatu nahisi kama mlikuwa mnapiga three some?
 
Mwamba unambania uhondo mpaka ndoa then siku ya uzinduzi anakuta una ma-tatoo kibao ya x-boyfriend. Ni usaliti mkubwa, kwa nini binti usifunguke mwanzoni umuweke wazi au kama zinachaji kichwani ungefanya utaratibu kufuta mapemaaaa........ Kwa mnaotarajia kuoa hakikisha unamuonja bibie kisawasawa before committing. Kuna issue tunaita "sexual compatibility" usichukulie poa inawatesa wengi sana.
 
KILA SIKU NASEMA UKITAKA KUOA OA BIKRA! ona sasa hili lime fanya uchafu wa kila aina alafu linawaza likatulie kwenye ndoa usikute hata kiota hakipo! Yani ingekua mimi ndio huyo aliekuoa ningekufurusha usiku huo huo wa harusi, kwanza mtu sio bikra unaanzaje kumwambia mwanaume eti "tutafanya mpaka ukinio",,, HOVYO KABISA
Aiseee kama hichi kisa ni cha kweli huyo jamaa aliyesubirishwa hadi ndoa ndio akapewa mzigo, Ametapeliwa na kuuziwa mbuzi kwenye gunia.

Yani kanunua makombo yenye shombo!!

Nimepata hasira sana mkuu.

Huyo jamaa kahujumiwa.
 
Mwamba unambania uhondo mpaka ndoa then siku ya uzinduzi anakuta una ma-tatoo kibao ya x-boyfriend. Ni usaliti mkubwa, kwa nini binti usifunguke mwanzoni umuweke wazi au kama zinachaji kichwani ungefanya utaratibu kufuta mapemaaaa........ Kwa mnaotarajia kuoa hakikisha unamuonja bibie kisawasawa before committing. Kuna issue tunaita "sexual compatibility" usichukulie poa inawatesa wengi sana.
Aiseee huyo jamaa aliyeoa haya makombo nimemsikitikia sana.

Yani unalipa mahari, kununua makombo ya wanaume wenzio, Afu wewe ulikuwa unabaniwa mpaka ndoa!!!

Ahh! Ahh! Ahh! Ahh! Ahh!

Napata hasira sana, Yani ningekuwa huyo jamaa nahisi sasa hivi ningekuwa na kesi ya mauaji.
 
Nipo hapa Mwanza Buhongwa nakufuta Tattoo bure kabisa nauchungu sana na Ndoa yako Mama
 
Mtaani tunawaita mashindikanaaa, kuna msela ni muhuni atari alinambia nimtumie namba za demu mmoja alikuwa hamjui vizuri ili atoke nae......mshikaji nikampa namba za uyo mtoto.......

mtoto kamfata tu mshikaji, mara paaaap jamaa ananipigia simu ananiambia asa we umeniletea demu gani mitatoo kila mahali na mibleach kichwani.....daaaah mtoto ni mzuri alikuwa anaitwa Sheila, tatizo ni tatoo.

kumbe wanaume wengi hawapendi au wanamtafsiri vibaya mwanamke mwenye tatoo au kipini au vikukuu.

Tukija kwako nakushauri tafuta mwanaume atayekusikiliza wewe yaaani asiwe level moja na wewe kimaisha, awe zoba zoba, asiye mwelewa wa mambo mengi.

Wanaume zako wanapata hisia kali reaction zao zinakuwa zinawaza unawadanganya kwamba ulikuwa na mume akakuchora tatoo, wao wanafikiria huyo mwanaume ni wa aina gani kwanza......wanahisi hata nyaaa ushaliwa sana, mzuka unawatoka.....afu bado nahisi hujabadilika vizuri, kuna pigo bado unawaonesha bila wewe kujua.

Ukipata mwanaume mwambie ulichorwa na demu mwenzako alikuwa gangsta.
 
Back
Top Bottom