Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran kwa Ushauri ila nipo Dar es Salaam.Kama upo mwanza chukuwa hiyo pesa nenda mlango mmoja chagua buti zako nzuri za 6000 8000 10000 zama mto kenge osha vizuri
Kisha anika tembeza auwezi kukosa wateja
Asante kwa Maelezo yako ya Kejeli na Dharau.Mkuu mpe man city, Liverpool na real Madrid hiyo hela ijizae mara mbili Kisha njoo tukushauri
Mkuu, ukiwa maeneo ya Mkuyuni sokoni to Nyegezi kona, nsaidie kuwasabahi watoto wazuri wa hiyo zone! Ujumbe: One day ntarejea nyumbani kuzichakata mbususu zao [emoji39]Kama upo Mwanza chukua hiyo pesa nenda mlango mmoja chagua buti zako nzuri za 6000 8000 10000 zama mto kenge osha vizuri
Kisha anika tembeza auwezi kukosa wateja
Hayo maelezo siyo ya kejeli wala dharau.Asante kwa Maelezo yako ya Kejeli na Dharau.
[emoji23]Mkuu mpe man city, Liverpool na real Madrid hiyo hela ijizae mara mbili Kisha njoo tukushauri
Nina Tsh 150,000/= tu je, nawezaje kuitumia kama Mtaji Mdogo ili nipate Faida ya haraka hata kama ni kidogo, ila ni ya kila Siku?
Michango yenu nitaishukuru sana tu.
Hii ni idea!Kama upo Mwanza chukua hiyo pesa nenda mlango mmoja chagua buti zako nzuri za 6000 8000 10000 zama mto kenge osha vizuri
Kisha anika tembeza auwezi kukosa wateja
Umesema vizuri saana mkuuFaida ya hraka haraka like serious? Kama wew so mvumlivu usije ukathubutu biashara maana bila shaka unataka faida kubwa kwa mda mchache! wake up janja mambo so simple ivyo kama kwenye movie mtaani kuna uhalisia wa maisha