Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Kuli Msomi

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2016
Posts
266
Reaction score
625
Wakuu habari zenu ni matumain yangu mko salama salmini

Sasa wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo nashida ya pesa kama 3million na natakiwa kuipata ndani ya kipindi cha siku 15 ila nikijiangalia mfukoni ninamiliki Tsh 150,000/= tu je kuna namna naweza kufanya ili niifikie iyo pesaa

My location : Dar es salaam
 
Hio bila kindege Aviator ni ngumu kutoboa
 
Nina 5m nifanye nini ndani ya mwezi nipate 6m?
Kama unaweza ingia katika uchuuzo wa dhahabu,kwa 5m utapata gram 56 kwa 90k@ gram.

Ukienda sokoni gram moja ni 147k inamaana kwa gram 56 utatengeneza 8.08 milions ukitoa mtaji faida itakua 3.2 milions.

Kila wiki fanya safari moja migodini inamaana kwa mwezi utakua umetengeneza faida ya milion 7-8.5 ukitoa na gharama za usafiri na kodi.

Hapo 5milions itakua iko nje kama mtaji na utakua umetengeneza 7-8 millions kwa mwezi.

Kama utaweza uchuuzi wa madini ya dhahabu.
 
Aaah kaka ungeongeza walau laki mbili tungejua tunaizalishaje,ila moja unusu uongo.
Walau ingelikua tatu unusu ingelikua na uwezekano.
 
Uza bangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…