Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
πππππππJukwaa la biashara, kachat mmu au chit chat, bye.
Mbaga mahaba yanamlevya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππJukwaa la biashara, kachat mmu au chit chat, bye.
Changamoto ni kuwapata hao watuπ€£π€£π€£π€£ inachekesha, ila ukiichukulia serious utashangaa unapata hela .....
Wapemba kariakoo huwa wanawapataje??? Kuna siku nilipita chocho moja nikakuta jamaa mpemba anawagawia tu vijana matrei ya maji na soda wanaenda kutembeza wanaleta hela..Changamoto ni kuwapata hao watu
Wapemba kariakoo huwa wanawapataje??? Kuna siku nilipita chocho moja nikakuta jamaa mpemba anawagawia tu vijana matrei ya maji na soda wanaenda kutembeza wanaleta hela..
Hivi hawaibi? Umpe mzigo asepe.
Karat ni direct proportional na Purity na mng'aro wa dhahabu.Hivi hizi karat huwa ni nini? Unakuta hereni imepostiwa karat 18, ndio zinakua nini??
Daaah sijaelewaKarat ni direct proportional na Purity na mng'aro wa dhahabu.
Bonge la swali....Wakuu habari zenu ni matumain yangu mko salama salmini
Sasa wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo nashida ya pesa kama 3million na natakiwa kuipata ndani ya kipindi cha siku 15 ila nikijiangalia mfukoni ninamiliki Tsh 150,000/= tu je kuna namna naweza kufanya ili niifikie iyo pesaa
My location : Dar es salaam
Daah sijui niweke lugha gani nyepesi ngojea nitafute msamiati mwepesi wa kuelezea.Daaah sijaelewa
Hivi kumbe haya mambo huwa ni mepesi kiasi hiki.?Kama unaweza ingia katika uchuuzo wa dhahabu,kwa 5m utapata gram 56 kwa 90k@ gram.
Ukienda sokoni gram moja ni 147k inamaana kwa gram 56 utatengeneza 8.08 milions ukitoa mtaji faida itakua 3.2 milions.
Kila wiki fanya safari moja migodini inamaana kwa mwezi utakua umetengeneza faida ya milion 7-8.5 ukitoa na gharama za usafiri na kodi.
Hapo 5milions itakua iko nje kama mtaji na utakua umetengeneza 7-8 millions kwa mwezi.
Kama utaweza uchuuzi wa madini ya dhahabu.
Sio mepesi mkuu.Hivi kumbe haya mambo huwa ni mepesi kiasi hiki.?
[emoji23][emoji23]Labda uibandike picha ya Mwamposa.Kuna shuhuda huko watu wanabandika picha kwenye luku ,mitungi ya gesi ngoma haziishi.
Hukujamba?Nimecheka kwanguvu aisee