Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Changamoto ni kuwapata hao watu
Wapemba kariakoo huwa wanawapataje??? Kuna siku nilipita chocho moja nikakuta jamaa mpemba anawagawia tu vijana matrei ya maji na soda wanaenda kutembeza wanaleta hela..

Hivi hawaibi? Umpe mzigo asepe.
 
Wapemba kariakoo huwa wanawapataje??? Kuna siku nilipita chocho moja nikakuta jamaa mpemba anawagawia tu vijana matrei ya maji na soda wanaenda kutembeza wanaleta hela..

Hivi hawaibi? Umpe mzigo asepe.
Vijana wengi unaowaona wakitembeza bidhaa mbali mbali maeneo ya vituo vya mabasi n.k wanakuwa wanafanya biashara kwa mfumo huo, wanapewa mzigo wanalipwa kwa kamisheni, changamoto ni namna ya kuwapata.​
 
Wakuu habari zenu ni matumain yangu mko salama salmini

Sasa wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo nashida ya pesa kama 3million na natakiwa kuipata ndani ya kipindi cha siku 15 ila nikijiangalia mfukoni ninamiliki Tsh 150,000/= tu je kuna namna naweza kufanya ili niifikie iyo pesaa

My location : Dar es salaam
Bonge la swali....
 
Kama unaweza ingia katika uchuuzo wa dhahabu,kwa 5m utapata gram 56 kwa 90k@ gram.

Ukienda sokoni gram moja ni 147k inamaana kwa gram 56 utatengeneza 8.08 milions ukitoa mtaji faida itakua 3.2 milions.

Kila wiki fanya safari moja migodini inamaana kwa mwezi utakua umetengeneza faida ya milion 7-8.5 ukitoa na gharama za usafiri na kodi.

Hapo 5milions itakua iko nje kama mtaji na utakua umetengeneza 7-8 millions kwa mwezi.

Kama utaweza uchuuzi wa madini ya dhahabu.
Hivi kumbe haya mambo huwa ni mepesi kiasi hiki.?
 
Kuwa rubani tu, endesha AVIATOR ikifika 20 tu toa milioni 3 yako chapu. Hakikisha unaacha hata elfu kumi hivi, ikitokea AVIATOR akaishia 1.00 nunua kamba au K Vant mkuu

-smooth criminal-
 
Back
Top Bottom