Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaw unatolewa na uchawi, em njoo pm nione namna ya kufanyaMahi lavu kwanza nilie 😭😭😭😭
Pm tu unakupenda Mbaga 😂😂😂Uchaw unatolewa na uchawi, em njoo pm nione namna ya kufanya
Ndio sehemu ntakuwa free na ww mahi lavu 😎Pm tu unakupenda Mbaga 😂😂😂
Pm siipendi mimi, kuna maujinga mengi sana huko.!! Niliifunga kabisaNdio sehemu ntakuwa free na ww mahi lavu 😎
Alipagawaaa nilimlaumu sana😂😂😂😂😂😂 alikuwa haoni kama anachoma?
Olewa tu shosti.Wakuu habari zenu ni matumain yangu mko salama salmini
Sasa wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo nashida ya pesa kama 3million na natakiwa kuipata ndani ya kipindi cha siku 15 ila nikijiangalia mfukoni ninamiliki Tsh 150,000/= tu je kuna namna naweza kufanya ili niifikie iyo pesaa
My location : Dar es salaam
Natuma namba yangu then unafungaPm siipendi mimi, kuna maujinga mengi sana huko.!! Niliifunga kabisa
🤔🤔🤔 hebu nendeni chit chat banaIkawaje mahi lavu
Hivi hizi karat huwa ni nini? Unakuta hereni imepostiwa karat 18, ndio zinakua nini??Basi ni huko mie nipo Tanga bei ya juu zaidi ya gram moja ya karat 18 ni 110k.
Na nimeuliza Morogoro ni vivyo hivyo.
Huwenda inayouza wewe ina karat za juu zaidi na sijui huyo unayemuuzia anaenda kuuza wapi maana hiyo uliomuuzia ndio bei yenyewe ya sokoni.
Mungu ni mwema mkuu na wewe utakuwa Njema tu..ukifata misingi mikuu ya biashara utakua na watu wa namna hiyo na pia mwenyewe uwe mfanyabiashara pia na usiogope ku take risk..Mkuu mifano yako mingi huwa naona una wadau wengi sana walio kwenye system ya madili makubwa kubwa. Hongera sana una back up kubwa sana nyuma yako, mpaka kuwapata hao ina maana na wewe uko njema.
😂😂😂😂 ila Mbaga una hekaheka.Natuma namba yangu then unafunga
Sasa tutawasiliana vp my😂😂😂😂 ila Mbaga una hekaheka.
Utume namba au siyo?? Ili iweje sasa hiyo namba yako?
Jukwaa la biashara, kachat mmu au chit chat, bye.Mahi lavu Lamomy unamuona huyu kigagula anavotuonea wivu 😂 em mpe neno moja atulie
Tusamehe, ngoja tufuate Comments zetu 😔Jukwaa la biashara, kachat mmu au chit chat, bye.
Kamata wazururaji wote mjini kila mmoja mpatie birika la kahawa atembeze