Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Kama upo shap uza kipodozi Cha Congo kutoka Tunduma ndani ya mwezi una eza piga 1,500,000/=
Kwa mtaji huwo kikubwa upate wateja sahihi na vipodiz sahii mfano ukanunua vitube vinavyo uzwa 2000 Tunduma Dar 4000
Hapo ukapata wateja wa uhakika location ya uhakika unatoboa
 
Wakuu habari zenu ni matumain yangu mko salama salmini

Sasa wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo nashida ya pesa kama 3million na natakiwa kuipata ndani ya kipindi cha siku 15 ila nikijiangalia mfukoni ninamiliki Tsh 150,000/= tu je kuna namna naweza kufanya ili niifikie iyo pesaa

My location : Dar es salaam
Olewa tu shosti.
 
Basi ni huko mie nipo Tanga bei ya juu zaidi ya gram moja ya karat 18 ni 110k.
Na nimeuliza Morogoro ni vivyo hivyo.
Huwenda inayouza wewe ina karat za juu zaidi na sijui huyo unayemuuzia anaenda kuuza wapi maana hiyo uliomuuzia ndio bei yenyewe ya sokoni.
Hivi hizi karat huwa ni nini? Unakuta hereni imepostiwa karat 18, ndio zinakua nini??
 
Mkuu mifano yako mingi huwa naona una wadau wengi sana walio kwenye system ya madili makubwa kubwa. Hongera sana una back up kubwa sana nyuma yako, mpaka kuwapata hao ina maana na wewe uko njema.
Mungu ni mwema mkuu na wewe utakuwa Njema tu..ukifata misingi mikuu ya biashara utakua na watu wa namna hiyo na pia mwenyewe uwe mfanyabiashara pia na usiogope ku take risk..
 
Back
Top Bottom