That's a highest risk thing my brother.
Hapo atakua anakaa roho upande lamamayeee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That's a highest risk thing my brother.
6m iwe faida inayotokana na 5m.Upate 1m jumla iwe 6m au upate 6m jumla iwe 11m?
😁😁😁😁😁, Aise
acha kumdanganya mwenzako wewe..Kama unaweza ingia katika uchuuzo wa dhahabu,kwa 5m utapata gram 56 kwa 90k@ gram.
Ukienda sokoni gram moja ni 147k inamaana kwa gram 56 utatengeneza 8.08 milions ukitoa mtaji faida itakua 3.2 milions.
Kila wiki fanya safari moja migodini inamaana kwa mwezi utakua umetengeneza faida ya milion 7-8.5 ukitoa na gharama za usafiri na kodi.
Hapo 5milions itakua iko nje kama mtaji na utakua umetengeneza 7-8 millions kwa mwezi.
Kama utaweza uchuuzi wa madini ya dhahabu.
kua makini
Kubet
😂 😂 😂[emoji1666]pamoja
Betting hapo ndo anaweza akafanya huo muujiza...wacheki sport pesa..
Hio bila kindege Aviator ni ngumu kutoboa
Mpe code tu
Usijaribu kubet juzi niliweka laki moja, mechi ya England na Serbia. Zipatikane goli mbili tu na hazikupatikana. Kubet ni sawa na kuweka roho bond. 🤣🤣🤣Aisee dah hukakika ndio tatizo
Mtaji wa 150,000 uzalishe faida ya 3m... Hapo faida ni 2000% ya mtaji. Tusikupe moyo mkuu, kupata faida ya asilimia afu mbili ngumu ndani ya nusu mwezi
Nina 5m nifanye nini ndani ya mwezi nipate 6m?
Hakuna
Mkuu kama unataka uelekezwe sema mimi nimefanya hiyo biashara na leseni ninayo,unachobisha wewe nini!?acha kumdanganya mwenzako wewe..
Nikukatishe tu tamaa labda ufanye nauli ya kwenda nchi fulani ukauze figo fasta
Lazima ufanye kitu ambacho kina very high risk ya kupoteza hiyo 150.