Kuli Msomi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 266
- 625
- Thread starter
- #61
Kajiropokea huyo hana alijualo.
Nitaku PM nikupe maelekezo kama utayaweza sawa.
Sawa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajiropokea huyo hana alijualo.
Nitaku PM nikupe maelekezo kama utayaweza sawa.
Mfuate huyo jamaa pm kama alivokutaka kata hujarudi hapa ukilia.Mkuu tutoe kwenye ili giza tusije tukapelekwa kwenye madimbwi
Matumizi ya kiswahili tu, "Nina Tsh 150,000/= tu nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000/="Faida ni 1,900%. Asilimia 2,000 ni pato lake jipya la 3M likianiwahi (with respect to) kianzio cha 150,000.
(3M - 150,000) ÷ 150,000% = 1,900%
Nimefanya leseni yangu ya mwisho inasoma 2022/2023.umefanya au unafanya?
Chuo kimefumguliwa jamaa kapewa zake ada na mzee wake kiasi cha Tsh 3m kaenda nacho chuo bata kwa sana mpaka kabakiwa na 150k kuja kushtuka mwezi ujao UE inaanza na afa bado hajatoa.Kajiropokea huyo hana alijualo.
Nitaku PM nikupe maelekezo kama utayaweza sawa.
Acha kuogopesha watu bro.Mfuate huyo jamaa pm kama alivokutaka kata hujarudi hapa ukilia.
Mie nitakupa maelezo utafanya we mwenyewe na ukitaka nitakuunganisha na watu ufanye nao mie nikiwa out of picture.Sawa mkuu
siwaogopesh, nawatahadharishaAcha kuogopesha watu bro.
Ila sio kwa namna hiyo sasa.siwaogopesh, nawatahadharisha
Rudisha bwana avator ya mwanzo tumeshaizoeaMuone P didy chap na hiyo pesa yako utabaki nayo utajipoza na soda
Ipi? Mmeanza gubu. Kila avatar ninayoweka mnasema nitoeRudisha bwana avator ya mwanzo tumeshaizoea
🤣🤣🤣Chuo kimefumguliwa jamaa kapewa zake ada na mzee wake kiasi cha Tsh 3m kaenda nacho chuo bata kwa sana mpaka kabakiwa na 150k kuja kushtuka mwezi ujao UE inaanza na afa bado hajatoa.
Hapo ndio utajua kumne WWIII ipo
Ile ya mwanamke kama amekata nywele. Uliyokua waitumia tuseme basi miezi 2 nyuma.Ipi? Mmeanza gubu. Kila avatar ninayoweka mnasema nitoe
Nishawishi ili niirudishe basiIle ya mwanamke kama amekata nywele. Uliyokua waitumia tuseme basi miezi 2 nyuma.
😂 aviator atarudi hapa akilia.Hio bila kindege Aviator ni ngumu kutoboa
😂😂😂😂 Sasa hiyo 150 utapata faida ya 3mln ndani ya 15days we umeona wapi??Nilijua tu kauli na ushauri wa kizandiki huu utatoka wapi kama sio kwa mdogoye Evelyn Salt !??
Hauna jema na kaka yetu wewe🙆🏿♂️🙆🏿♂️🙆🏿♂️🙆🏿♂️
chimbo gani hilo ambalo mgen from no where anaweza kuingia na kuwa na uhakika wa 56gm kila week?, chimbo gani hlo ambalo dhahabu atapata kwa 90k/gm, hyo dhababu purity yake ngapi? akienda sokoni hawaconsidi purity wanamchotea tu 147k/gm? yaani kwenye gram moja upate faida ya 57k? unaumwa wewe si bure.,.madigala wazoefu wanakimbizina na faida ya 2k/gm we unakuja na hesabu zako za biashara ya ngedere hapa.Ila sio kwa namna hiyo sasa.
Mie sitaki pesa yake,nampa mawazo akiweza aingie mzigoni HIMSELF akapambane front.