Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Faida ni 1,900%. Asilimia 2,000 ni pato lake jipya la 3M likianiwahi (with respect to) kianzio cha 150,000.

(3M - 150,000) ÷ 150,000% = 1,900%
Matumizi ya kiswahili tu, "Nina Tsh 150,000/= tu nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000/="

Nipate mtu anaweza kutafsri 3,000,000 ni pesa mpya ambayo alikuwa hana hata mia yake huku position ya 150k ikibaki ilivyokuwa
 
Ila sio kwa namna hiyo sasa.
Mie sitaki pesa yake,nampa mawazo akiweza aingie mzigoni HIMSELF akapambane front.
chimbo gani hilo ambalo mgen from no where anaweza kuingia na kuwa na uhakika wa 56gm kila week?, chimbo gani hlo ambalo dhahabu atapata kwa 90k/gm, hyo dhababu purity yake ngapi? akienda sokoni hawaconsidi purity wanamchotea tu 147k/gm? yaani kwenye gram moja upate faida ya 57k? unaumwa wewe si bure.,.madigala wazoefu wanakimbizina na faida ya 2k/gm we unakuja na hesabu zako za biashara ya ngedere hapa.

acha kudanganya watu mkuu.
 
Back
Top Bottom