Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
😂 😂 😂Uwo wa pili unamake sense mkuu ubarikiwe
Kweli huo wa pili una make sense
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂Uwo wa pili unamake sense mkuu ubarikiwe
Iyo nikipata mimi ndani ya miezi 3 nakupa 8m mkuu ila ndio ivyo tena
Mkuu kama unataka uelekezwe sema mimi nimefanya hiyo biashara na leseni ninayo,unachobisha wewe nini!?
Unataka kuelekezwa!?
Sema tukuelekeze.
Ila ni hatari kidogo mkuu utakua tayari!?
we ni tapeli, kenge mkubwa ww? kwanza hapaitwi merera ni melela, na sio mangaye ni mangae, soko la kimataifa ndo upeleke gram 56 kwa week? mkuu we ni tapeli kiazi, ndo maana unakimbia, umeama kwenye 57k mapka 25k faida/g?Huyo digala anayekimbizana na faida ya 2k kwa gram sio digala ni ushubadwa.
Angalau ungenambia faida ya 25k ni afadhali.
Maana kama Matombo ile njia panda ya Mvuha nao wanachimba ya mtoni ambayo ni safi sio kama ya mwamba,gram 1 wanakupiga laki kamili mpaka laki na kumi.
Nenda ukauze,na ukitaka faida kauze soko la kimataifa la madini sio ofisi za tume ya madini.
Kama mimi nilikua nina connection ya sehemu kama sita kote nikisubiri mzigo utakapotoka naenda MERERA,MANGAYE,MATOMBO,MASHEWA(HAYA NI MACHIMBO YASIYO RASMI),HANDENI,MKATA,MBEZI,DUMILA MVUMI,MIKESE(MACHIMBO YASIYO RASMI).
Cha mwisho cha kukwambia,YALE NI MADINI ILE BIASHARA
mkuu achana na huyo tapeli utapigwa.Hatari kivipi, toa maelezo hapa hapa. Mimi ni mdau wa kujilipua
Iyo nikipata mimi ndani ya miezi 3 nakupa 8m mkuu ila ndio ivyo tena
Zidisha mara 20 tu mkuu, inapatikanaWakuu habari zenu ni matumain yangu mko salama salmini
Sasa wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo nashida ya pesa kama 3million na natakiwa kuipata ndani ya kipindi cha siku 15 ila nikijiangalia mfukoni ninamiliki Tsh 150,000/= tu je kuna namna naweza kufanya ili niifikie iyo pesaa
My location : Dar es salaam
We ni kichaa kweli😂😂😂😂😂.we ni tapeli, kenge mkubwa ww? kwanza hapaitwi merera ni melela, na sio mangaye ni mangae, soko la kimataifa ndo upeleke gram 56 kwa week? mkuu we ni tapeli kiazi, ndo maana unakimbia, umeama kwenye 57k mapka 25k faida/g?
Hata hayo marinda hayawezi kumsaidia labda ukute wewe mtoa ushauri uyanunue kwa kumsaidiaMarinda ya mwana yapo matatani
Pia haujui kipi unataka maana hata unachoelezwa na unachojibu huelewi.we ni tapeli, kenge mkubwa ww? kwanza hapaitwi merera ni melela, na sio mangaye ni mangae, soko la kimataifa ndo upeleke gram 56 kwa week? mkuu we ni tapeli kiazi, ndo maana unakimbia, umeama kwenye 57k mapka 25k faida/g?
Toa maelezo kama mimi tapeli.mkuu achana na huyo tapeli utapigwa.
Kuna mtu alikuwa anasimulia habari ya kindege, anasema alifikisha 3.8M akachelewa kutoa zikayeyuka zote. Hiki kindege kinatoaje hela kirahisi hivyo, hadi maofisini jamaa wanaelekezana wako serious kabisa, nitakitafuta nikione.Kile si ndio balaa kabisa mkuu
😂😂😂Betting hapo ndo anaweza akafanya huo muujiza...wacheki sport pesa..
kwa hyo wanakupa 137k bila kuangalia purity? mkuu unambwelambwela sana, huna uliposhika, mara 147k mara 137k, tushike lipi? we ni tapel kiazi.Nishakujibu nimekutajia mpaka machimbo.
Embu nikupe simple maths.
Dhahabu za Matombo zinakua safi sana kwasababu nyingi za mtoni nunua gram moja kwa elfu tisini,tena kwasababu kule machimbo yao sio rasmi kuna muda gram moja wanakuuza mpaka elfu themanini.
Dhahabu ikienda pigwa moto ni nadra sana kupoteza zaidi ya 9% LABDA UWE UMEUZIWA NDAZA.
Na kwa serikali dhahabu yenye purity kuanzia 89% wanakulipa hela ya sokoni ambayo 135-137k.
Sidhani kama I owe you any explanation after this.
Naona yamekukuta mzee🤣🤣🤣🤣🤣Kile si ndio balaa kabisa mkuu