Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
Hili jibu nililitegemea liwe reply ya kwanza kabisa 😹😹Kubet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jibu nililitegemea liwe reply ya kwanza kabisa 😹😹Kubet
Hata ukiuza Cocaine kwa mtaji huo huwezi kupata 3M.Wakuu habari zenu ni matumain yangu mko salama salmini
Sasa wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo nashida ya pesa kama 3million na natakiwa kuipata ndani ya kipindi cha siku 15 ila nikijiangalia mfukoni ninamiliki Tsh 150,000/= tu je kuna namna naweza kufanya ili niifikie iyo pesaa
My location : Dar es salaam
Nilionaga status ya Maxence Melo anasema Figo unauza kwa 80M unatafuta mkeka wa odd 10 unaweka 70M Unapiga 700M. Baada ya hapo unapata 700M unatoa 80M unanua Figo nyingine na chenchi inabaki mbona life simple tu? [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Usiogope kijana
Changamkia hapo Kijana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tafuta odds ya 2.90 hapo utakuwa umekatwa na kodi kabisa utakuwa ushapata 300k
You need SMART goal settings, yaani Bora wa 5m anataka apate 1m ili awe na 6m kuliko mwenye 150,000 anataka apate 3m ndani ya siku 15 napenda kufundisha elimu ya ujasiriamali ila humu niwajuwaji sana
Una ndoto kubwa wakati uwezo / mtaji ni mdogo sana. Kwa ufupi unahitaji muujiza vinginevyo ufanye biashara haram.
Mchicha labda kwenye shimo la mavi. Siku 15 hutoboiKilimo cha nini hiko cha siku 15, labda mchicha.
Ungekua manyara au iringa ningekushauri ukate kibali maliasiri 20,000 kodi chain saw kata miti choma mkaaa iyo pesa unaitengeneza haraka
Nenda kkoo kanunue zile chupi ( G string) na zile chupi za kamba kamba mfano Bikini etc..
Tumia kama 50k
Hiyo then uwe unavaa hizo Usiku hasa maeneo ya kitambaa cheupe ya Sinza au Tabata huko..
Pia hiyo 100k inayobak itumie kama mtaji wa kununua bia za kuzugia zugia ukiwa bar/night club..
Hakika utaipata hiyo 3m chap.
Nimemuelewa kwamba anataka kukaushwa damu, (ana hamu ya kukaushwa damu)Ujamuelewa vizuri mkuu
Hayuko sawa kichwaniMtaji wa 150,000 uzalishe faida ya 3m... Hapo faida ni 2000% ya mtaji. Tusikupe moyo mkuu, kupata faida ya asilimia afu mbili ngumu ndani ya nusu mwezi
Mkuu we muongo sana, kwanza ni wapi ambapo utapata gram 56 kwa wiki, pili bei ya elfu 90 bado ipo mgodi upo huo??? sasahivi gram Moja inalaki 2 we unamdanganya mwenzako et 90k😂😂😂😂😂Kama unaweza ingia katika uchuuzo wa dhahabu,kwa 5m utapata gram 56 kwa 90k@ gram.
Ukienda sokoni gram moja ni 147k inamaana kwa gram 56 utatengeneza 8.08 milions ukitoa mtaji faida itakua 3.2 milions.
Kila wiki fanya safari moja migodini inamaana kwa mwezi utakua umetengeneza faida ya milion 7-8.5 ukitoa na gharama za usafiri na kodi.
Hapo 5milions itakua iko nje kama mtaji na utakua umetengeneza 7-8 millions kwa mwezi.
Kama utaweza uchuuzi wa madini ya dhahabu.
MhhhhhhMkuu leta iyo biashara haramu tuluke nayo
Kaka mbona mm nakushauri tena ni jambo ambalo linawezekana kwenye hiyo 5m tafuta odds 1.20 tena hata kwa mwezi unaweza kuu we niNina 5m nifanye nini ndani ya mwezi nipate 6m?
Wadau tupo wengi ila yeye hajuichimbo gani hilo ambalo mgen from no where anaweza kuingia na kuwa na uhakika wa 56gm kila week?, chimbo gani hlo ambalo dhahabu atapata kwa 90k/gm, hyo dhababu purity yake ngapi? akienda sokoni hawaconsidi purity wanamchotea tu 147k/gm? yaani kwenye gram moja upate faida ya 57k? unaumwa wewe si bure.,.madigala wazoefu wanakimbizina na faida ya 2k/gm we unakuja na hesabu zako za biashara ya ngedere hapa.
acha kudanganya watu mkuu.