Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Toa maelezo kama mimi tapeli.
Wapi maelezo yangu yanaonesha kama mimi tapeli!?
Muulize nimemuomba hela yake!?
Kama hauna exposure ni wewe.
maelezo yako ni ya kitapeli kuwatamanisha watu ili uwapige. Unaendesha gari gani ili nifananishe na hyo faida ya 57k/g unayosema huwa unatengeneza
 
Kasome maelezo yangu vizuri.
Pia nimekusamehe kwa kuniita tapeli.
Soma kwa uelewa,hakuna ambacho nimeandika hakijajitosheleza, baada ya hii quote sitakujibu tena.
maelezo yako ni ya kitapei, kutamanisha watu ili uwapige
 
You need SMART goal settings, yaani Bora wa 5m anataka apate 1m ili awe na 6m kuliko mwenye 150,000 anataka apate 3m ndani ya siku 15 napenda kufundisha elimu ya ujasiriamali ila humu niwajuwaji sana
Ukiwa na 5m unaweza pata 1m Kwa mwezi lakini ukiwa na 150,000 haina uhakika kupata 3m ama 2,750,000 ndani siku 15
 
Mie nitakupa maelezo utafanya we mwenyewe na ukitaka nitakuunganisha na watu ufanye nao mie nikiwa out of picture.
Maana jamaa kashaanza kukutisha kuwa labda naweza kuwa tapeli au vipi.

Itapendeza mkuu karibu dm
 
Sijasoma comment. Ila nna uhakika watu 10 washasema tafuta odds ..

Edit:

Replies zilizomshauri abet/aviator au kuongelea kubet zipo 12.
Waliosema akalime: 0
Waliosema aanzishe biashara: 0

Wengi wapewe.
Kilimo cha nini hiko cha siku 15, labda mchicha.
 
Nenda kkoo kanunue zile chupi ( G string) na zile chupi za kamba kamba mfano Bikini etc..

Tumia kama 50k

Hiyo then uwe unavaa hizo Usiku hasa maeneo ya kitambaa cheupe ya Sinza au Tabata huko..

Pia hiyo 100k inayobak itumie kama mtaji wa kununua bia za kuzugia zugia ukiwa bar/night club..


Hakika utaipata hiyo 3m chap.
 
Mkikutana na wauza Sembe anakwambia hiyo mia hamsini yako itie kibiriti peleka hili Zogo China ukirudi una nyumba sita kumbe muhuni anakupeleka ukanyongwe tu...kwa hizi tamaa kufanya biashara hatarishi ni dakika yeyote tu..

Hatuangalii nyuma mzee tunaishi mala moja na kufa mala moja [emoji56]
 
Back
Top Bottom