Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Matumizi ya kiswahili tu, "Nina Tsh 150,000/= tu nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000/="

Nipate mtu anaweza kutafsri 3,000,000 ni pesa mpya ambayo alikuwa hana hata mia yake huku position ya 150k ikibaki ilivyokuwa
3M haiwezi kuwa mpya yote kwa vile ni wazi kwamba 150,000 ni sehemu ya matumizi iliyozalisha hilo pato kuu.

Malengo yake ni kuifikia 3M kutoka 150k, ambapo ndiyo ukomo.
Je kuna namna naweza kufanya ili niifikie iyo pesa
 
chimbo gani hilo ambalo mgen from no where anaweza kuingia na kuwa na uhakika wa 56gm kila week?, chimbo gani hlo ambalo dhahabu atapata kwa 90k/gm, hyo dhababu purity yake ngapi? akienda sokoni hawaconsidi purity wanamchotea tu 147k/gm? yaani kwenye gram moja upate faida ya 57k? unaumwa wewe si bure.,.madigala wazoefu wanakimbizina na faida ya 2k/gm we unakuja na hesabu zako za biashara ya ngedere hapa.

acha kudanganya watu mkuu.
Ungeuliza kesha ningekueleza.
Unaanza personal attack ili iweje!?
Morogoro na Mkata watu wanapata mpaka 100grams mzee unazungumzia hizo 56 grams!?
 
Sijasoma comment. Ila nna uhakika watu 10 washasema tafuta odds ..

Edit:

Replies zilizomshauri abet/aviator au kuongelea kubet zipo 12.
Waliosema akalime: 0
Waliosema aanzishe biashara: 0

Wengi wapewe.
Hata alime vipi hiyo hela haifiki
Na kuhusu biashara labda iwe haramu lkn hakuna biashara halali ataweza kufanikiwa.
 
3M haiwezi kuwa mpya yote kwa vile ni wazi kwamba 150,000 ni sehemu ya matumizi iliyozalisha hilo pato kuu.
Matumizi ni pesa iliyotumika, hivi mfano akanunua machine ya 150,000 kuzalishia 3m anayotafuta au akabeti kama wengi walivyomshauri, hiyo hela anaitumia kutafuta pesa mpya ambayo ni 3m

Au akaitumia kukodi eneo la biashara kuzalishia hiyo hela etc

Matumizi tu ya lugha..
 
Mkikutana na wauza Sembe anakwambia hiyo mia hamsini yako itie kibiriti peleka hili Zogo China ukirudi una nyumba sita kumbe muhuni anakupeleka ukanyongwe tu...kwa hizi tamaa kufanya biashara hatarishi ni dakika yeyote tu..
 
chimbo gani hilo ambalo mgen from no where anaweza kuingia na kuwa na uhakika wa 56gm kila week?, chimbo gani hlo ambalo dhahabu atapata kwa 90k/gm, hyo dhababu purity yake ngapi? akienda sokoni hawaconsidi purity wanamchotea tu 147k/gm? yaani kwenye gram moja upate faida ya 57k? unaumwa wewe si bure.,.madigala wazoefu wanakimbizina na faida ya 2k/gm we unakuja na hesabu zako za biashara ya ngedere hapa.

acha kudanganya watu mkuu.
Wenzako sasa hivi wakikamata dhahabu hawaichukui mpaka ipigwe moto ndio biashara inafanyika.
Nenda hata Dumila MVUMI kuna machimbo kule,ukitaka dhahabu ikipatikana wanakupigia moto inakua atleast 90% pure kesha unaibeba.
Kuna dhahabu ya korongo ambayo hiyo haina uchafu mwingi ama dhahabu ya mto ambayo yenyewe inakua 90%+ pure,wanaichimba MTO MBEZI HUKO MOROGORO MKUYUNI KWA MBELE.
Madigala wenye akili wanaunda koneksheni ya machimbo zaidi ya 5 au 6.
Hapo ana contact ya machimbo kama Dumila,Merera,Mangaye,Mvumi,Matombo,Mkata,Bumbuli.
Kote huko anasubiria mzigo.
Digala fala ndio anakaa akisubiri sehemu moja.
 
Ungeuliza kesha ningekueleza.
Unaanza personal attack ili iweje!?
Morogoro na Mkata watu wanapata mpaka 100grams mzee unazungumzia hizo 56 grams!?
moro chimbo gan? mkata chimbo gani? huko kote napafahamu, nimekuuliza wapi unaweza pata faida ya 57k/gm? kwenye dhahabu? hyo dhahabu purity yake ngapi? sokoni hawaangalii purity wanakuchotea tu hela? hzi ndo unaita personal attack?
 
chimbo gani hilo ambalo mgen from no where anaweza kuingia na kuwa na uhakika wa 56gm kila week?, chimbo gani hlo ambalo dhahabu atapata kwa 90k/gm, hyo dhababu purity yake ngapi? akienda sokoni hawaconsidi purity wanamchotea tu 147k/gm? yaani kwenye gram moja upate faida ya 57k? unaumwa wewe si bure.,.madigala wazoefu wanakimbizina na faida ya 2k/gm we unakuja na hesabu zako za biashara ya ngedere hapa.

acha kudanganya watu mkuu.
Huyo digala anayekimbizana na faida ya 2k kwa gram sio digala ni ushubadwa.
Angalau ungenambia faida ya 25k ni afadhali.
Maana kama Matombo ile njia panda ya Mvuha nao wanachimba ya mtoni ambayo ni safi sio kama ya mwamba,gram 1 wanakupiga laki kamili mpaka laki na kumi.
Nenda ukauze,na ukitaka faida kauze soko la kimataifa la madini sio ofisi za tume ya madini.
Kama mimi nilikua nina connection ya sehemu kama sita kote nikisubiri mzigo utakapotoka naenda MERERA,MANGAYE,MATOMBO,MASHEWA(HAYA NI MACHIMBO YASIYO RASMI),HANDENI,MKATA,MBEZI,DUMILA MVUMI,MIKESE(MACHIMBO YASIYO RASMI).

Cha mwisho cha kukwambia,YALE NI MADINI ILE BIASHARA HAUFANYI KAMA UNAUZA DUKA LA SEMBE NA MCHELE,BALI UNAFANYA KIKUBWA KWA KUFANYA MAMBO MAKUBWA.

KWAHERI.
 
Wadau wanasema nibet dah kichwa kinawaka moto

Betting ndio ila kuna casino. Kama una access ya casino, kamari zinazolipa mara 20 nenda Ila uwe tayari kupoteza hiyo 150 ubaki na viungo vyako vya uzazi.

Ukienda, option 2 tu.
1. Umepata.
2. Umepoteza.

Na kwa sababu unapenda miujiza uwezekano wa option ya pili ni mkubwa zaidi hivyo jiandae kisaikolojia sio ikishaliwa uanze kushangaa tena kama vile ni suprice fulani hivi ambayo hukuijua.

Habari njema ni kwamba unaweza kupata.

Swali la kukupa motisha:
UKIBAKI NA HIYO LAKI NA NUSU KAMA ILIVYO INAWEZA TATUA LOLOTE?

Kama jibu ni ndio, then usirisk, itumie kutatua hicho kidogo.

Kama jibu ni siyo. ICHEZEE KAMARI AU ILIE BATA ILI TAREHE IKIFIKA IKUKUTE UKIWA UMESHIBA.
 
moro chimbo gan? mkata chimbo gani? huko kote napafahamu, nimekuuliza wapi unaweza pata faida ya 57k/gm? kwenye dhahabu? hyo dhahabu purity yake ngapi? sokoni hawaangalii purity wanakuchotea tu hela? hzi ndo unaita personal attack?
Nishakujibu nimekutajia mpaka machimbo.
Embu nikupe simple maths.
Dhahabu za Matombo zinakua safi sana kwasababu nyingi za mtoni nunua gram moja kwa elfu tisini,tena kwasababu kule machimbo yao sio rasmi kuna muda gram moja wanakuuza mpaka elfu themanini.
Dhahabu ikienda pigwa moto ni nadra sana kupoteza zaidi ya 9% LABDA UWE UMEUZIWA NDAZA.
Na kwa serikali dhahabu yenye purity kuanzia 89% wanakulipa hela ya sokoni ambayo 135-137k.
Sidhani kama I owe you any explanation after this.
 
😂😂😂😂 Sasa hiyo 150 utapata faida ya 3mln ndani ya 15days we umeona wapi??
😂😂😂😂😂🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️Daaah!
Hapa jamaa sijui ana masahib gani mpaka anataka pesa kubwa ndani ya muda mfupi!?
 
Aisee hii mbona kama inamake sense je gharama ya figo inaweza fika usd lak moja ?
Nilionaga status ya Maxence Melo anasema Figo unauza kwa 80M unatafuta mkeka wa odd 10 unaweka 70M Unapiga 700M. Baada ya hapo unapata 700M unatoa 80M unanua Figo nyingine na chenchi inabaki mbona life simple tu? 😁 😁 😁
Usiogope kijana
 
Matumizi ni pesa iliyotumika, hivi mfano akanunua machine ya 150,000 kuzalishia 3m anayotafuta au akabeti kama wengi walivyomshauri, hiyo hela anaitumia kutafuta pesa mpya ambayo ni 3m

Au akaitumia kukodi eneo la biashara kuzalishia hiyo hela etc

Matumizi tu ya lugha..
Kibiashara, ukiiweka pesa kwenye matumizi inakuwa haijapotea, bali imegeuka tu kutoka hali moja ya keshi na kuwa amali (asset).

Katika mfano wako huo hapo juu, asset ulizopata kutokana na 150k yako ni: mashine au huduma ya kamari au eneo ulilokodi.

Economics 101: Money can never be created nor destroyed; it can only be transformed from one form to another.^ (Courtesy of John Dalton's atomic theory).

Hiyo amali ndiyo yenye dhima ya kukuzalishia faida.

Hii ikipotea (hasara), faida itatok'wapi?
 
Back
Top Bottom