Rule L
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 1,846
- 2,754
Kawa muha auππππππ
Kamata wazururaji wote mjini kila mmoja mpatie birika la kahawa atembeze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamata wazururaji wote mjini kila mmoja mpatie birika la kahawa atembeze
Dhahabu sasahivi ipo kwenye 200k hiyo 90k unanunua mbuzi auNishakujibu nimekutajia mpaka machimbo.
Embu nikupe simple maths.
Dhahabu za Matombo zinakua safi sana kwasababu nyingi za mtoni nunua gram moja kwa elfu tisini,tena kwasababu kule machimbo yao sio rasmi kuna muda gram moja wanakuuza mpaka elfu themanini.
Dhahabu ikienda pigwa moto ni nadra sana kupoteza zaidi ya 9% LABDA UWE UMEUZIWA NDAZA.
Na kwa serikali dhahabu yenye purity kuanzia 89% wanakulipa hela ya sokoni ambayo 135-137k.
Sidhani kama I owe you any explanation after this.
angalau wewe inaingia akilini, upate tu faida ya 33,500/= per day kwa mtaji wa 5m is possibleNina 5m nifanye nini ndani ya mwezi nipate 6m?
kuna app inaitwa GRINDR na TINDER huko vijana wanauza bidhaa za asili. Na wanunuzi wapo. Kila la kheriWakuu habari zenu ni matumain yangu mko salama salmini
Sasa wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo nashida ya pesa kama 3million na natakiwa kuipata ndani ya kipindi cha siku 15 ila nikijiangalia mfukoni ninamiliki Tsh 150,000/= tu je kuna namna naweza kufanya ili niifikie iyo pesaa
My location : Dar es salaam
Ngwande Ya mkaa ataiweza???Ungekua manyara au iringa ningekushauri ukate kibali maliasiri 20,000 kodi chain saw kata miti choma mkaaa iyo pesa unaitengeneza haraka
Hiyo bei ilikua ya 2019 aiseeEti ananunua gram kwa 90k anauza kwa 147kπ, Kila mtu angekua kota, kota Kila gram akila sana anakula buku 6-8 hapo ajiandae na kuwakopa wenye makarasha la sivyo atakaa porini na hela zake na hatalamba mzigo wowote
Mchicha labda kwenye shimo la mavi. Siku 15 hutoboi
Kaka mbona mm nakushauri tena ni jambo ambalo linawezekana kwenye hiyo 5m tafuta odds 1.20 tena hata kwa mwezi unaweza kuu we ni
Wanadhani dhahabu nikama mpunga unaenda mbeya unanunua unapeleka dar kuuzaπ€£π€£Mfuate huyo jamaa pm kama alivokutaka kata hujarudi hapa ukilia.
Can you make 3M in that time by 150000 You betting on life that's why You are also brokeWew mtu ebu tulia unaonekana unashida ya akili [emoji35]
Beti, tafuta team 10 odds 30 tupia laki unapata milioni 3Wakuu habari zenu ni matumain yangu mko salama salmini
Sasa wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo nashida ya pesa kama 3million na natakiwa kuipata ndani ya kipindi cha siku 15 ila nikijiangalia mfukoni ninamiliki Tsh 150,000/= tu je kuna namna naweza kufanya ili niifikie iyo pesaa
My location : Dar es salaam
Dah nimelia sana πMuone P didy chap na hiyo pesa yako utabaki nayo utajipoza na soda
Naomba elimu khs hii ishuKwa 150k kwa mwez atapata 12000
Pambana sana inawezekanaView attachment 3021014View attachment 3021012
Umerudi kwa ID nyingine!?Mkuu we muongo sana, kwanza ni wapi ambapo utapata gram 56 kwa wiki, pili bei ya elfu 90 bado ipo mgodi upo huo??? sasahivi gram Moja inalaki 2 we unamdanganya mwenzako et 90kπππππ
ACHA UONGO WEWE DHAHABU YA 200K IMETOKA WAPI!!??Dhahabu sasahivi ipo kwenye 200k hiyo 90k unanunua mbuzi au
Nikiwa na mtaji wa m 15 naweza kujichanhanya kwenye biahsta ya madini je niende mgodi upiUmerudi kwa ID nyingine!?
Pole sana kijana,sokoni kuanzia soko la serikali katika ofisi zao za tume ya madini mpaka ofisi za soko la kimataifa la madini dhahabu gram moja ni 135k-147k.
Sasa wewe na uongo wako machimboni ununue laki mbili halafu sokoni uje uuze laki moja naa!!??
Huyo jamaa kauliza kwa milion 5 anapataje milion 6!?
Mie nikapigia hesabu za mtaji wa milioni 5 atafanyaje biashara ya dhahabu.Ndio yakaja mahesabu hayo.
Pia UACHE UONGO machimboni point moja ni 900-100.Ina maana point kumi ni elfu 90 mpaka laki moja.
TEMBEA MACHIMBO YOOTEE UNAOYAJUA DHAHABU INAUZWA HIVYO.
Na tena sasa hivi wanakupigia moto pale pale na kukutolea takataka au wanaichemsha katika mercury halafu wanakupa ikiwa takataka zimepungua sokoni ni laki na 35 mpaka laki na 47.
WE MGODI UPI WANAKUUZIA DHAHABU LAKI MBILI!??
Yani mgodini wakuuzie dhahabu laki 2 halafu sokoni iuzwe laki naa!?
Fala kweli wewe.
Unapokuja kuongea ongea ukiwa na uhakika na unachoongea.Dhahabu sasahivi ipo kwenye 200k hiyo 90k unanunua mbuzi au