Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Sembe itakua unaisikia tu mkuu nenda Arusha uone walioanza na maduka ya Sembe na sasa hivi wanapeleka mzigo Nairobi kitu chochote ukikifanya kwa umakini utafanikiwa unaponda biashara nzuri na makini kwa biashara ya ujanja ujanja dakika mbili unatapeliwa..
Basi kaka hujanielewa nini nimekusudia.
Biashara ya nafaka haina mlolongo mkubwa sana na haina changamoto nyingi kama ya madini.
Nilichomaanisha biashara ya madini ina milolongo mingi na ina changamoto kubwa kuliko ya nafaka.
 
Wakuu habari zenu ni matumain yangu mko salama salmini

Sasa wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo nashida ya pesa kama 3million na natakiwa kuipata ndani ya kipindi cha siku 15 ila nikijiangalia mfukoni ninamiliki Tsh 150,000/= tu je kuna namna naweza kufanya ili niifikie iyo pesaa

My location : Dar es salaam
Nenda kwa Bashe ukaombe kibali cha kuagiza sukari. Kuna meana hapa kitaa huwa anafanya deal za kuhamishia watu miziki na movies kutoka kweny computer yake na kuwawelea kwenye simu na flash yeye pia kimzahamzaha amepewa kibali cha kuagiza sukari.
 
Ila mbona jamaa katoa maelezo clear tu man, kila ulichouliza kajibu furesh kabisa ni wewe tu kuthibitisha kwa kuingia field nafikiri.
Hayo mambo ya anaendesha gari gani ili uamini naona kama una sound personal kidogo.
mkuu huyo jamaa ni tapeli, ni anacheza na maneno tu uhalisia haupo, hv mkuu ununue kilo moja ya dhahabu kwa 90m uende sokoni upate faida ya 57m hv kwa akili yako inaingia akilin hata kama hujui kuhusu hyo biashara. nakuapia mkuu hakuna digala anapata faida ya zaid ya 10k/g kwenye dhahabu, tena hapo kacheza michezo michafu kama kutemper na scale etc. dhahabu ingekuwa na faida kubwa kama jamaa anavodai tusingekuwa kunapishana na madigala kwa mama lishe kufuata ugali dagaa mkuu. 57k/g faida? over my dead body, tena unafanya uchuuzi sio hata kuwa umedhamini duara? which is too risky, kupoteza hela ni kugusa tu.
 
mkuu huyo jamaa ni tapeli, ni anacheza na maneno tu uhalisia haupo, hv mkuu ununue kilo moja ya dhahabu kwa 90m uende sokoni upate faida ya 57m hv kwa akili yako inaingia akilin hata kama hujui kuhusu hyo biashara. nakuapia mkuu hakuna digala anapata faida ya zaid ya 10k/g kwenye dhahabu, tena hapo kacheza michezo michafu kama kutemper na scale etc. dhahabu ingekuwa na faida kubwa kama jamaa anavodai tusingekuwa kunapishana na madigala kwa mama lishe kufuata ugali dagaa mkuu. 57k/g faida? over my dead body, tena unafanya uchuuzi sio hata kuwa umedhamini duara? which is too risky, kupoteza hela ni kugusa tu.
Mi nimefanya sana biashara ya machimboni ndo maana jamaa hata nimeamua kumpotezea tu, unachosema ndo uhalisia, faida per gram ni elfu 6 mpaka 8, that's it, ila faida ya elf 57 sasa Kila mtu si angeenda tu kuuzia sokoni....


Alafu unamshauri mtu aende machimboni na laki 3 akawe kota/digala kweli???😃😃😃 Hata mtaji wa gram 2 Hana? Aisee
 
Wakuu habari zenu ni matumain yangu mko salama salmini

Sasa wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo nashida ya pesa kama 3million na natakiwa kuipata ndani ya kipindi cha siku 15 ila nikijiangalia mfukoni ninamiliki Tsh 150,000/= tu je kuna namna naweza kufanya ili niifikie iyo pesaa

My location : Dar es salaam
nenda katoe sadaka kwa Mungu.
 
Kama unaweza ingia katika uchuuzo wa dhahabu,kwa 5m utapata gram 56 kwa 90k@ gram.

Ukienda sokoni gram moja ni 147k inamaana kwa gram 56 utatengeneza 8.08 milions ukitoa mtaji faida itakua 3.2 milions.

Kila wiki fanya safari moja migodini inamaana kwa mwezi utakua umetengeneza faida ya milion 7-8.5 ukitoa na gharama za usafiri na kodi.

Hapo 5milions itakua iko nje kama mtaji na utakua umetengeneza 7-8 millions kwa mwezi.

Kama utaweza uchuuzi wa madini ya dhahabu.
Gram 56 per week siyo kitoto mkuu kwa mfumo huo?......Afu hiyo bei ya mwaka gani au Mgodi gani 90k@1gram
 
Back
Top Bottom