Nishamjibu mwenzio akashindwa hoja na wewe nishakujibu lete hapa ushahidi wa machimboni dhahabu kuwa 200k.Wadau tupo wengi ila yeye hajui
Na sokoni utauzaje ilhali bei ya mwisho ni 190k!!??
Nasubiri jibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishamjibu mwenzio akashindwa hoja na wewe nishakujibu lete hapa ushahidi wa machimboni dhahabu kuwa 200k.Wadau tupo wengi ila yeye hajui
Hikua makini
Eti ananunua gram kwa 90k anauza kwa 147k
Milioni 2 inatosha migodi ya wapi hiiKama unaweza ingia katika uchuuzo wa dhahabu,kwa 5m utapata gram 56 kwa 90k@ gram.
Ukienda sokoni gram moja ni 147k inamaana kwa gram 56 utatengeneza 8.08 milions ukitoa mtaji faida itakua 3.2 milions.
Kila wiki fanya safari moja migodini inamaana kwa mwezi utakua umetengeneza faida ya milion 7-8.5 ukitoa na gharama za usafiri na kodi.
Hapo 5milions itakua iko nje kama mtaji na utakua umetengeneza 7-8 millions kwa mwezi.
Kama utaweza uchuuzi wa madini ya dhahabu.
Sembe itakua unaisikia tu mkuu nenda Arusha uone walioanza na maduka ya Sembe na sasa hivi wanapeleka mzigo Nairobi kitu chochote ukikifanya kwa umakini utafanikiwa unaponda biashara nzuri na makini kwa biashara ya ujanja ujanja dakika mbili unatapeliwa..Huyo digala anayekimbizana na faida ya 2k kwa gram sio digala ni ushubadwa.
Angalau ungenambia faida ya 25k ni afadhali.
Maana kama Matombo ile njia panda ya Mvuha nao wanachimba ya mtoni ambayo ni safi sio kama ya mwamba,gram 1 wanakupiga laki kamili mpaka laki na kumi.
Nenda ukauze,na ukitaka faida kauze soko la kimataifa la madini sio ofisi za tume ya madini.
Kama mimi nilikua nina connection ya sehemu kama sita kote nikisubiri mzigo utakapotoka naenda MERERA,MANGAYE,MATOMBO,MASHEWA(HAYA NI MACHIMBO YASIYO RASMI),HANDENI,MKATA,MBEZI,DUMILA MVUMI,MIKESE(MACHIMBO YASIYO RASMI).
Cha mwisho cha kukwambia,YALE NI MADINI ILE BIASHARA HAUFANYI KAMA UNAUZA DUKA LA SEMBE NA MCHELE,BALI UNAFANYA KIKUBWA KWA KUFANYA MAMBO MAKUBWA.
KWAHERI.
Akopeshe vyombo apitie buku bukuKawa muha au[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
achana na huyo kenge mkuu, nina bro wangu alianza biashara ya duka la jumla kwa 10m kwa sasa kwa sasa turn over yake kwa mwaka ni over 300m, hyo biashara ya dhahabu naijua ndani nje akawadanganye kenge wenzakeSembe itakua unaisikia tu mkuu nenda Arusha uone walioanza na maduka ya Sembe na sasa hivi wanapeleka mzigo Nairobi kitu chochote ukikifanya kwa umakini utafanikiwa unaponda biashara nzuri na makini kwa biashara ya ujanja ujanja dakika mbili unatapeliwa..
Huyu jamaa hata nashindwa kumjibu, kazi za kununua dhahabu ni ngumu sana, kwanza unaweza ukawa na pesa machimboni na usipate dhahabu kabisachimbo gani hilo ambalo mgen from no where anaweza kuingia na kuwa na uhakika wa 56gm kila week?, chimbo gani hlo ambalo dhahabu atapata kwa 90k/gm, hyo dhababu purity yake ngapi? akienda sokoni hawaconsidi purity wanamchotea tu 147k/gm? yaani kwenye gram moja upate faida ya 57k? unaumwa wewe si bure.,.madigala wazoefu wanakimbizina na faida ya 2k/gm we unakuja na hesabu zako za biashara ya ngedere hapa.
acha kudanganya watu mkuu.
Umejificha kwenye kivuli Cha 'machimbo yasio rasmi'... Ila kwenye migodi yote tunayoijua hicho ulichoandika hakina uhalisia kabisaHuyo digala anayekimbizana na faida ya 2k kwa gram sio digala ni ushubadwa.
Angalau ungenambia faida ya 25k ni afadhali.
Maana kama Matombo ile njia panda ya Mvuha nao wanachimba ya mtoni ambayo ni safi sio kama ya mwamba,gram 1 wanakupiga laki kamili mpaka laki na kumi.
Nenda ukauze,na ukitaka faida kauze soko la kimataifa la madini sio ofisi za tume ya madini.
Kama mimi nilikua nina connection ya sehemu kama sita kote nikisubiri mzigo utakapotoka naenda MERERA,MANGAYE,MATOMBO,MASHEWA(HAYA NI MACHIMBO YASIYO RASMI),HANDENI,MKATA,MBEZI,DUMILA MVUMI,MIKESE(MACHIMBO YASIYO RASMI).
Cha mwisho cha kukwambia,YALE NI MADINI ILE BIASHARA HAUFANYI KAMA UNAUZA DUKA LA SEMBE NA MCHELE,BALI UNAFANYA KIKUBWA KWA KUFANYA MAMBO MAKUBWA.
KWAHERI.
Acha ubishi wewe kitaita sasahivi 1 g ni 200kUnapokuja kuongea ongea ukiwa na uhakika na unachoongea.
Tanzania dhahabu zetu nyingi ni karat 18 ambazo ndio zinauzwa 1gram kwa 135k-147k.
Na hii ni bei ya sokoni,sasa nataka wewe uniambie bei ya MACHIMBONI YA 1G KUWA 200K UMEITOA WAPII!?
HILO HAPO CHINI JEDUARI LA WIZARA YA NISHATI NA MADINI NI BEI ELEKEZI YA DHAHABU ILE ILIYOKWISHASAFISHWA KUANZIA KARAT 15 MPK KARAT 22 AMBAYO NDIO BEI INAUZWA 190K.
AYA SASA WEWE HIYO YA BEI YA MACHIMBONI KUWA 200K UMEIPATA WAPI!??
Ununue shimoni 200k sokoni unakuja kuuza shingapi!!???
NASUBIRI JIBU HAPAAAAA.
Sasa hivi nitaanza kuongea kwa evidence ili tusichoshane akili.
View attachment 3021210
Kitaita bei yake ni 200k na loliondo ni 180k per gram lete porojo zingineNishamjibu mwenzio akashindwa hoja na wewe nishakujibu lete hapa ushahidi wa machimboni dhahabu kuwa 200k.
Na sokoni utauzaje ilhali bei ya mwisho ni 190k!!??
Nasubiri jibu.
Dah ila watuAkopeshe vyombo apitie buku buku
Kabisa mkuuUmejificha kwenye kivuli Cha 'machimbo yasio rasmi'... Ila kwenye migodi yote tunayoijua hicho ulichoandika hakina uhalisia kabisa
Basi wewe unaongea porojoUmerudi kwa ID nyingine!?
Pole sana kijana,sokoni kuanzia soko la serikali katika ofisi zao za tume ya madini mpaka ofisi za soko la kimataifa la madini dhahabu gram moja ni 135k-147k.
Sasa wewe na uongo wako machimboni ununue laki mbili halafu sokoni uje uuze laki moja naa!!??
Huyo jamaa kauliza kwa milion 5 anapataje milion 6!?
Mie nikapigia hesabu za mtaji wa milioni 5 atafanyaje biashara ya dhahabu.Ndio yakaja mahesabu hayo.
Pia UACHE UONGO machimboni point moja ni 900-100.Ina maana point kumi ni elfu 90 mpaka laki moja.
TEMBEA MACHIMBO YOOTEE UNAOYAJUA DHAHABU INAUZWA HIVYO.
Na tena sasa hivi wanakupigia moto pale pale na kukutolea takataka au wanaichemsha katika mercury halafu wanakupa ikiwa takataka zimepungua sokoni ni laki na 35 mpaka laki na 47.
WE MGODI UPI WANAKUUZIA DHAHABU LAKI MBILI!??
Yani mgodini wakuuzie dhahabu laki 2 halafu sokoni iuzwe laki naa!?
Fala kweli wewe.
Thibitisho wewe penye uhalisia.Umejificha kwenye kivuli Cha 'machimbo yasio rasmi'... Ila kwenye migodi yote tunayoijua hicho ulichoandika hakina uhalisia kabisa
Hizo hapo sasa ili ujue sisi hatupigi mdomo nililipwa 390 piga hesabu. ni shingapi kwa kila gramUnapokuja kuongea ongea ukiwa na uhakika na unachoongea.
Tanzania dhahabu zetu nyingi ni karat 18 ambazo ndio zinauzwa 1gram kwa 135k-147k.
Na hii ni bei ya sokoni,sasa nataka wewe uniambie bei ya MACHIMBONI YA 1G KUWA 200K UMEITOA WAPII!?
HILO HAPO CHINI JEDUARI LA WIZARA YA NISHATI NA MADINI NI BEI ELEKEZI YA DHAHABU ILE ILIYOKWISHASAFISHWA KUANZIA KARAT 15 MPK KARAT 22 AMBAYO NDIO BEI INAUZWA 190K.
AYA SASA WEWE HIYO YA BEI YA MACHIMBONI KUWA 200K UMEIPATA WAPI!??
Ununue shimoni 200k sokoni unakuja kuuza shingapi!!???
NASUBIRI JIBU HAPAAAAA.
Sasa hivi nitaanza kuongea kwa evidence ili tusichoshane akili.
View attachment 3021210
Nani alisema ni biashara rahisi!?Huyu jamaa hata nashindwa kumjibu, kazi za kununua dhahabu ni ngumu sana, kwanza unaweza ukawa na pesa machimboni na usipate dhahabu kabisa
Ndo maana Makota wengi wanawakopesha sana watu wenye makarasha ili ikitokea anakua na dhahabu anampa priority yeye kuinunua
Faida kwa Kila gram haiwezi kupishana elfu kumi Toka mgodini mpaka sokoni, sana sana hua inakua elfu 5 mpaka 6 kwa Kila gram, hivo lets say mtu ukiwa na mtaji wa kama Milioni 10 ukifanikiwa kupata mzigo wote unaenda kulamba kwenye laki 4 ivi, sio rahisi kivile
Na hapo ujue kuichoma dhahabu vizuri, ukizubaa ukienda jikoni Kule unakuta pesa yako inapungua, hakuna kazi rahisi mazee ingieni field ndo mtaelewa
Hivi kweli kazi za mgodini zilivyokua ngumu kuanzia mchama(muwekezaji), watenda kazi, mafundi wa Kila idara,wachorongaji,wenye makarasha na wanafanya biashara zao maeneo ya mgodi n.k alafu ukute eti ukinunua dhahabu mgodini ukienda sokoni unapata elfu 50 kwa Kila gram, nani kwanza angeuza dhahabu yake porini tena?? Na hio dhahabu si ingekua inagombaniwa kwa ngumi kabisa??
Biashara ya kununua dhahabu In reality tegemea faida ya elf 6 mpaka 8 kwa Kila gram
Sijawahi kufika huko.Kitaita bei yake ni 200k na loliondo ni 180k per gram lete porojo zingine
Hapo sokoni au shimoni!?Hizo hapo sasa ili ujue sisi hatupigi mdomo nililipwa 390 piga hesabu. ni shingapi kwa kila gram