Nina uhakika kwa hili la 'Freeman' hivi sasa wana CHADEMA wote wanampenda 'Mama' na 2025 wote watampigia 'Kura' zao aendelee kuwa Rais wa Kusamehe TZ

Nina uhakika kwa hili la 'Freeman' hivi sasa wana CHADEMA wote wanampenda 'Mama' na 2025 wote watampigia 'Kura' zao aendelee kuwa Rais wa Kusamehe TZ

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kweli nimeamini unaweza Kuchukiwa na Watu ( hasa Maadui zako ) kwa 75% ila ukaja kufanya Jambo moja na hao hao Maadui zako kwa 100% wakabadilika na kuanza Kukupenda.

Kwa Furaha kubwa niliyoiona kwa wana CHADEMA wengi baada ya 'Freeman' kuachiwa na kwa Upendo wa ghafla waliouonyesha kwa 'Mama' sasa ni wazi kuwa Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 wana CHADEMA Wote ( tena ikiwezekana na Sare zao za Chama ) watampigia / watamchagua 'Mama' ili aendelee Kuwasamehe kama 'Wakikengeuka' tena 'Kisiasa' huko mbeleni.
 
Hiyo guarantee umeitoa wapi ya wanaChadema kumpigia kura Samia 2025?

Kwamba mlitengeneza tatizo halafu mkaja kulitatua ili mpate political mileage?

Hapo mmefeli, tena Mbowe ikitokea kwa mfano akagombea na Samia naamini hata wewe utampa kura yako Mbowe, kwenye hili yeye ndie amejitangaza zaidi, lumumba mmefeli.
 
Hahaha!! Nikisikiliza intavyuu ya Raisi Mama Samia BBC napata picha mbili tofauti .
Funzo:Mpende Mtu unavyo mpenda na mchukie unavyomchukia acha nafasi kuna siku anaweza kufanya jambo la kujifuraisha au kukukera.
 
Haki baada ya mateso, unaweza samehe lakini si rahisi kusahau, upendo wa wanachadema hautabadiri tabia za mtu, siku zote wapenda haki hutamani amani hivyo wanaweza mpenda sasa nawakataka katiba mpya na tume huru.je' atakubari kwa maslahi ya watanzania?
 
Wewe lzm una tatizo kubwa ktk ubongo wako, mapumba yako haya unayatoa bila hofu??

....Wewe ni kimeo kabisa
Kweli nimeamini unaweza Kuchukiwa na Watu ( hasa Maadui zako ) kwa 75% ila ukaja kufanya Jambo moja na hao hao Maadui zako kwa 100% wakabadilika na kuanza Kukupenda.

Kwa Furaha kubwa niliyoiona kwa wana CHADEMA wengi baada ya 'Freeman' kuachiwa na kwa Upendo wa ghafla waliouonyesha kwa 'Mama' sasa ni wazi kuwa Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 wana CHADEMA Wote ( tena ikiwezekana na Sare zao za Chama ) watampigia / watamchagua 'Mama' ili aendelee Kuwasamehe kama 'Wakikengeuka' tena 'Kisiasa' huko mbeleni.
 
Kweli nimeamini unaweza Kuchukiwa na Watu ( hasa Maadui zako ) kwa 75% ila ukaja kufanya Jambo moja na hao hao Maadui zako kwa 100% wakabadilika na kuanza Kukupenda.

Kwa Furaha kubwa niliyoiona kwa wana CHADEMA wengi baada ya 'Freeman' kuachiwa na kwa Upendo wa ghafla waliouonyesha kwa 'Mama' sasa ni wazi kuwa Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 wana CHADEMA Wote ( tena ikiwezekana na Sare zao za Chama ) watampigia / watamchagua 'Mama' ili aendelee Kuwasamehe kama 'Wakikengeuka' tena 'Kisiasa' huko mbeleni.
GENTAMYCINE usiwe na maneno ya kejeli, eti Rais ana Moyo wa kusamehe! Sisi tulisema Mh Mbowe siyo GAIDI, kwa hiyo amesamehewa kwa lipi ambalo DPP hakuliona? Uwe na ustaarabu angalau hata kidogo basi. Au tupe mfano ni wapi uliwahi kuona GAIDI anasamehewa?

Nasisitiza tena Mh Mbowe siyo GAIDI na hatakuwa GAIDI kuhusu uchaguzi 2025 hakuna mwana Chadema hata mmoja atakaempigia kura Samia, hata mkipiga magoti hampati Ng'ooo!
 
Kweli nimeamini unaweza Kuchukiwa na Watu ( hasa Maadui zako ) kwa 75% ila ukaja kufanya Jambo moja na hao hao Maadui zako kwa 100% wakabadilika na kuanza Kukupenda.

Kwa Furaha kubwa niliyoiona kwa wana CHADEMA wengi baada ya 'Freeman' kuachiwa na kwa Upendo wa ghafla waliouonyesha kwa 'Mama' sasa ni wazi kuwa Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 wana CHADEMA Wote ( tena ikiwezekana na Sare zao za Chama ) watampigia / watamchagua 'Mama' ili aendelee Kuwasamehe kama 'Wakikengeuka' tena 'Kisiasa' huko mbeleni.
Kwanza rekebisha kauli yako Mbowe hajasamehewa isipokuwa Mbowe kaachiwa kwa sababu mwendesha mashitaka (DPP) hana nia ya kuendelea na kesi kwa nini sisi CDM haituhusu

Ila kimsingi DPP kesi imemshinda kwa sababu haina mashiko, na kwa mantiki hiyo Mbowe ameshinda kesi na ndio maana kaachiwa huru

Kuhusu Mama ni mnafiki na Hana vigezo vinavyo tutosheleza sisi kama CDM katika uongozi wake mpaka sasa Mama ameshikiwa akili hatuhitaji Raisi wa aina hiyo

Kwa kifupi Mama hafai anatupoteza

TUNATAKA KATIBA MPYA KWA USALAMA WA TAIFA LETU
 
Kweli nimeamini unaweza Kuchukiwa na Watu ( hasa Maadui zako ) kwa 75% ila ukaja kufanya Jambo moja na hao hao Maadui zako kwa 100% wakabadilika na kuanza Kukupenda.

Kwa Furaha kubwa niliyoiona kwa wana CHADEMA wengi baada ya 'Freeman' kuachiwa na kwa Upendo wa ghafla waliouonyesha kwa 'Mama' sasa ni wazi kuwa Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 wana CHADEMA Wote ( tena ikiwezekana na Sare zao za Chama ) watampigia / watamchagua 'Mama' ili aendelee Kuwasamehe kama 'Wakikengeuka' tena 'Kisiasa' huko mbeleni.
Chadema is "technically dead"..siku za Mbowe kuvurumishiwa matusi zinahesabika.Tundu hawezi kuongea sababu ataambiwa mbona na wewe uliomba kuteta na Rais Samia huko ughaibuni?
 
Ni utapia mlo wa akili kumpigia fisadi kura🐒🐒🐒
 
Kweli nimeamini unaweza Kuchukiwa na Watu ( hasa Maadui zako ) kwa 75% ila ukaja kufanya Jambo moja na hao hao Maadui zako kwa 100% wakabadilika na kuanza Kukupenda.

Kwa Furaha kubwa niliyoiona kwa wana CHADEMA wengi baada ya 'Freeman' kuachiwa na kwa Upendo wa ghafla waliouonyesha kwa 'Mama' sasa ni wazi kuwa Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 wana CHADEMA Wote ( tena ikiwezekana na Sare zao za Chama ) watampigia / watamchagua 'Mama' ili aendelee Kuwasamehe kama 'Wakikengeuka' tena 'Kisiasa' huko mbeleni.
Kura huwa haipigwi kwa issue moja kama ya kuachiwa kwa Mbowe pekee its a combination of different issues like water, education, health, economy, good governance, etc.
 
Kweli nimeamini unaweza Kuchukiwa na Watu ( hasa Maadui zako ) kwa 75% ila ukaja kufanya Jambo moja na hao hao Maadui zako kwa 100% wakabadilika na kuanza Kukupenda.

Kwa Furaha kubwa niliyoiona kwa wana CHADEMA wengi baada ya 'Freeman' kuachiwa na kwa Upendo wa ghafla waliouonyesha kwa 'Mama' sasa ni wazi kuwa Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 wana CHADEMA Wote ( tena ikiwezekana na Sare zao za Chama ) watampigia / watamchagua 'Mama' ili aendelee Kuwasamehe kama 'Wakikengeuka' tena 'Kisiasa' huko mbeleni.

Wewe Popoma acha shobo kwa CDM
 
Kweli nimeamini unaweza Kuchukiwa na Watu ( hasa Maadui zako ) kwa 75% ila ukaja kufanya Jambo moja na hao hao Maadui zako kwa 100% wakabadilika na kuanza Kukupenda.

Kwa Furaha kubwa niliyoiona kwa wana CHADEMA wengi baada ya 'Freeman' kuachiwa na kwa Upendo wa ghafla waliouonyesha kwa 'Mama' sasa ni wazi kuwa Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 wana CHADEMA Wote ( tena ikiwezekana na Sare zao za Chama ) watampigia / watamchagua 'Mama' ili aendelee Kuwasamehe kama 'Wakikengeuka' tena 'Kisiasa' huko mbeleni.
Naona ...asubuhi kabla hata hujaoga unafikiria Kwa kutumia naniiiliu...aka masaburi!
 
Kweli nimeamini unaweza Kuchukiwa na Watu ( hasa Maadui zako ) kwa 75% ila ukaja kufanya Jambo moja na hao hao Maadui zako kwa 100% wakabadilika na kuanza Kukupenda.

Kwa Furaha kubwa niliyoiona kwa wana CHADEMA wengi baada ya 'Freeman' kuachiwa na kwa Upendo wa ghafla waliouonyesha kwa 'Mama' sasa ni wazi kuwa Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025 wana CHADEMA Wote ( tena ikiwezekana na Sare zao za Chama ) watampigia / watamchagua 'Mama' ili aendelee Kuwasamehe kama 'Wakikengeuka' tena 'Kisiasa' huko mbeleni.
CHADEMA hawaaminiki
 
Hakuna cha hasira wala mjukuu wa hasira huo ndiyo ukweli nyinyi mlisema Mbowe ni GAIDI, tuambieni sasa Mbowe ni GAIDI kweli?
Mbowe ni gaidi rejea mari ya mahakama ya 18.02.2022
ushahidi umeonyesha Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu
hajajibu DPP KAWEKA BARAFY JUU YA KESI sasa nyie unezeni joto iyeyuke
halafu kesi irudi tena upya
 
Back
Top Bottom