Kama kuna maandishi watapatwa na hatia lakini kama hakuna maandishi ni ile yakuminyianaa tu hapo hkn hatiaHivi mbeya city hawawezi kushitakiwa kwa kukiuka makubaliano?
Duh....afadhaliRound ya pili itakuwa ngumu zaidi kwani utopolo watatoa sare mechi tano ya leo ikiwemo na watapoteza mechi 2.[emoji322][emoji323][emoji322][emoji323]
He!!....Km kuna maandishi watapatwa na hatia lkn km hkn maandishi n ile yakuminyianaa tu hapo hkn hatia
8 zimebaki wajueeeKuna watu weekend imekuja vibaya...
Tulia kolo, wewe ulichimbwa mimi nimetoa sare tena refa katunyima magoli mawili ya wazi kabisaa.Pamoja na wachambuzi wenu kuwatetea utopolo kuwa eti wameonewa na waamuzi,wakisahau makosa yale yale waamuzi wanayafanya kwa timu nyingine,ukweli ni kwamba yanga wameanza kuchoka...
Kumbe unakumbuka kilichokupata manunguYanga bado hawajaenda Manungu..
Endelea kupiga ramli msimu hamna Viporo vya kununua.Pamoja na wachambuzi wenu kuwatetea utopolo kuwa eti wameonewa na waamuzi,wakisahau makosa yale yale waamuzi wanayafanya kwa timu nyingine,ukweli ni kwamba yanga wameanza kuchoka. Na kama ilivyo kawaida, ndio muda wa utopolo kugawa pointi kwa timu zitakazojizatiti...
Wanamshangilia bwana wao 😀Hahaaa... mbumbumbu bhana! Eti yamejialika huku kujitia moyo ili yalazimishe kupata furaha...[emoji1787]
Ni heri ukose mali kuliko kukosa akili...