Pamoja na wachambuzi wenu kuwatetea utopolo kuwa eti wameonewa na waamuzi, wakisahau makosa yale yale waamuzi wanayafanya kwa timu nyingine, ukweli ni kwamba Yanga wameanza kuchoka. Na kama ilivyo kawaida, ndio muda wa utopolo kugawa pointi kwa timu zitakazojidhatiti.
Round ya pili itakuwa ngumu zaidi kwani utopolo watatoa sare mechi tano ya leo ikiwemo na watapoteza mechi 2.
Ubingwa bado uko wazi sana
Round ya pili itakuwa ngumu zaidi kwani utopolo watatoa sare mechi tano ya leo ikiwemo na watapoteza mechi 2.
Ubingwa bado uko wazi sana