Nina uhakika yanga wameanza kuchoka na bado watachoka zaidi ya hapa

Nina uhakika yanga wameanza kuchoka na bado watachoka zaidi ya hapa

Hahaaa... mbumbumbu bhana! Eti yamejialika huku kujitia moyo ili yalazimishe kupata furaha...[emoji1787]

Ni heri ukose mali kuliko kukosa akili.

Kuteseka kote huko ni sababu tu ijulikane kuwa MAKOLO si mbovu mwaka huu?

Timu ya mchongo,

Mechi za michongo,

Penati za michongo,

Matokeo ya mchongo,

Refa wa mchongo,

Mdhamini wa mchongo,

Mashabiki wa michongo,

Kweli MAKOLO mtafika mbinguni mkiwa mmechoka sana...[emoji16]
Hivi vicheko vya kulazimisha huku macho yako yamelowa machozi sio vizuri, utashtakiwa na nafsi yako mwenyewe..
 
Tulia kolo, wewe ulichimbwa mimi nimetoa sare tena refa katunyima magoli mawili ya wazi kabisaa.
Sasa endelea kujipa matumaini ya ubingwa na timu yako mbuvu
Kwa hiyo mnaenda lini CAS?!
 
Viporo vitaanza baada ya mechi ya tar 13 na Asec. Tushaandaa pesa za kununulia Viporo, UNASEMAJE??
Kweli ikiwezekana na shirikisho la Afrika andaeni fungu,wenzetu mna hela na ndio maana mnajitengenezea viporo kila msimu, ila huko shirikisho hamna viporo.

So kwa hiyo msimu huu kama hamna viporo,msimu ujao mnabaki home?
 
Kweli nimeamini hawara haachwi.
Simba pamoja na kupigwa kimoko na bwana wake lakini bado anamshangilia etiw
 
Pumbav! Chiku lushindo anabaki na kipa anafumba macho aaf unakuja unasema nyokonyoko umenyimwa magoli?
 
Pamoja na wachambuzi wenu kuwatetea utopolo kuwa eti wameonewa na waamuzi, wakisahau makosa yale yale waamuzi wanayafanya kwa timu nyingine, ukweli ni kwamba Yanga wameanza kuchoka. Na kama ilivyo kawaida, ndio muda wa utopolo kugawa pointi kwa timu zitakazojidhatiti.

Round ya pili itakuwa ngumu zaidi kwani utopolo watatoa sare mechi tano ya leo ikiwemo na watapoteza mechi 2.

Ubingwa bado uko wazi sana
Wakitoa sare mechi tano na kufungwa wakati huo wewe utashinda zote eti kijana uliyeshiba makande ya kiporo, Mbumbumbu mnajua sana kupiga hesabu za vidole yani mnaiangalia yanga ipoteze alafu kwenye hesabu izo izo mnajisahau kujiweka na nyie!!!
 
Hakuna watu wanateseka sana msimu huu kama MAKOLO
 
PALE ......MBUMBUMBU WA MIKIA FC......WANAPOJIFARIJI KUCHUKUA UBINGWA
 
Kinachonifurahisha ratiba ya msimu huu haina viporo,tutajuana mbele kwa mbele...
Ata wakipata viporo aviwezi kuwasaidia kwasasa zaidi ya kuwaongezea presha wao, yanga ingekuwa inafanya vibaya na wao wakawa na viporo hapo vingewasaidia but yanga iko juu kwa tofauti ya point 8 na michezo sawa na bado ni yanga bora uwanjani msimu huu ivyo viporo wanaweza kujikuta wanakuja kukamilisha ratiba tu na awana chao
 
Hahaaa... mbumbumbu bhana! Eti yamejialika huku kujitia moyo ili yalazimishe kupata furaha...[emoji1787]

Ni heri ukose mali kuliko kukosa akili.

Kuteseka kote huko ni sababu tu ijulikane kuwa MAKOLO si mbovu mwaka huu?

Timu ya mchongo,

Mechi za michongo,

Penati za michongo,

Matokeo ya mchongo,

Refa wa mchongo,

Mdhamini wa mchongo,

Mashabiki wa michongo,

Kweli MAKOLO mtafika mbinguni mkiwa mmechoka sana...[emoji16]
Sisi tunavyojua ni kwamba, hakuna penalty za michongo zinazoweza kufikia zile walizopewa Yanga kwenye mechi dhidi ya Namumgo na Ruvu shooting, ni michongo iliyopelekea kufungiwa kwa hao marefa.

Wewe unaongelea michongo gani??
 
Pamoja na wachambuzi wenu kuwatetea utopolo kuwa eti wameonewa na waamuzi, wakisahau makosa yale yale waamuzi wanayafanya kwa timu nyingine, ukweli ni kwamba Yanga wameanza kuchoka. Na kama ilivyo kawaida, ndio muda wa utopolo kugawa pointi kwa timu zitakazojidhatiti.

Round ya pili itakuwa ngumu zaidi kwani utopolo watatoa sare mechi tano ya leo ikiwemo na watapoteza mechi 2.

Ubingwa bado uko wazi sana
Kama uliangalia game ya Simba na Prison utajua alie choka nani , endelea kujipa matumaini hewa
Screenshot_2022-02-06-09-14-06-87.jpg
 
Back
Top Bottom