Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Hadi umefikia kujitambua hivyo basi ujue tayari ushakomaa akili kimaisha kuwa Mke Mwema si umbo tu bali ni zaidi ya umbo[emoji3]
Acha kabisa mkuu...!! Mke kitu kinginee matakoo acha tuyachezee tuu... Mengi kichwani hakuna kituu pia wengi hujikuta hawana cha kupoteza kwenye mahusiano. Ogopa sana kudate na demu ambae Hana cha kupotezaa na wewe ndo unampenda kupita kiasi...
 
Sasa kama umenogewa na show zake kwa nini ulimruhusu kuolewa?si ungemfanya nyumba ndogo tu,yule dogo siku akigundua ni wewe ndipo vita itakapoanza.
 
Nashukuru mkuu...!! Nilishafanyaga maamuzi mengi kwenye maisha yangu lakini Kutokumla yule manzi huwaga naona ni uamuzi mkubwa wa busara ever...
Ilinikutaga nami hiyo hiyo tena Mke wa rafiki yangu kabisa akanigongea mlango 00:00 hrs nimfungulie, bado sijakaa sawa kuchungulia ni nani nikijaribu kumfungulia ghafla tu aliingia haraka haraka hadi kitandani kwangu, kibaya zaidi alivaa kanga 1 tu laini iliyoonyesha chupi nyeupe na sidiria nyeupe huku chuchu saa 6.

Nilijigeukia ukutani nikikomaa kutomgonga lkn alinisumbua sana usiku kucha akitaka nimtafune akinikumbatia, mara aniwekee miguu yake juu yangu yani nilihangaika sana kufikia alfajiri nikiwa nimedindisha mashine usiku kucha.

Nilimshukuru sana Mungu kunipa hekima kutom****ba yule Ke maana rafiki yake alikuwa mlevi na wakati mwingine alale nnje daaah...!
 
Duuh ulitishaa mzee..Hongeraa
 
Kabisa Chifu, yanatambuaga ujinga ambao huwa yanafichiwa na Mama zao, chukulia ingekuwa ni Baba Mzazi angethubutu kufanya huo upumbavu[emoji848]
Yani mpaka mama anajua binti anatombesha nje ya ndoa na anaruhusu kisa mwanae katishia kunywa sumu...????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mamaee ningeenda kuwawashia moto familia nzima.....
 
Hao wanajikutaga wana hati miliki ya kuchepuka ngoja nianze na jinsia yetu
Duh [emoji3][emoji3][emoji3]mkuu umejibu kama mwanamke aliyepo kwenye ndoa muda mrefu,ila jibu lako limenichekesha sana.
 
Yani mpaka mama anajua binti anatombesha nje ya ndoa na anaruhusu kisa mwanae katishia kunywa sumu...????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mamaee ningeenda kuwawashia moto familia nzima.....
Hahaaa...naona umenikumbusha yule Mkurya Polisi aliyetokaga Sudan akawamiminia risasi Mama Mkwe, Mkewe/Mwandishi wa habari na yeye mwenyewe kujimalizia alipokuta pesa aliyokuwa akimtumia Ke wake wajenge Jumba lao yeye alienda kujenga kwao uchagani kwa Mama yake na Binti kinyume na makubaliano yao[emoji23][emoji28]
 
Na ndio maan nikifikilia kuota napata ukakasi ju ya hyo taasisi pendwa ulimwenguni na mbinguni
 
siku utahemewa wewe kisogoni we ona raha tu kumuhemea mke wa mtu
 
Tatizo linalokusumbua mkuu una mchepuko mmoja tu[emoji3][emoji3]
Ni jambo zuri kuwa na mchepuko mmoja,ila ni kosa kubwa sana kuwa na mchepuko mke wa mtu.
 
Harafu hizo kauli za kwamba wanaume wote wanachepuka mnafanya wake zetu watufikirie vibaya kila tukichelewa kurudi nyumbani.
 
Huyo mwanamke kiufupi hampendi mumewe ninachojiuliza tu alikubali vipi kuolewa naye, hivyo vituko huwezi kumfanyia mume wako unayempenda.

Na ww mkuu kuwa na maamuzi kama mwanaume au kama vipi achaneni na watu wenu muoane.
Presha za jamii zinafikisha watu kubaya kama hivi
 
Ndugu yangu inakubidi ufanye toba,kwani umefanya kosa lilovuka mipaka,kwanza umejieleza wazi kwamba huyo mwanamke ameolewa,hivyo unajua analolifanya ni kosa kiimani na hata kiutamaduni kwa maisha ya kawaida ya mwanadamu,nakusihi uache kumbuka shetani akitaka kukutumia anakufanya uwe na kiburi na kutokuelewa,jiepushe mapema,kumbuka what comes around goes around.Siku njema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…