Nina upungufu wa nguvu za kike, waungwana nisaidieni!

Pole sana jamani! Hili yendo ukifanya bila mahikemshike wa hamu linakja karaha. Kuna bubble gum flani niliziona sehemu za kuingeza hamu kwa mwanamke... Nikipata jina ntakuletea. Zinauzwa sana siku izi.
 
Mh! Sijawahi kusikia hii kitu. Hazina side effect kwa mtumiaji!?

Pole sana jamani! Hili yendo ukifanya bila mahikemshike wa hamu linakja karaha. Kuna bubble gum flani niliziona sehemu za kuingeza hamu kwa mwanamke... Nikipata jina ntakuletea. Zinauzwa sana siku izi.
 
Mh! Sijawahi kusikia hii kitu. Hazina side effect kwa mtumiaji!?
Sijawai tumia ila mrejesho wa wadada kwenye group unazisifia sana.
Ishu ya huyu dada haiitaji madawa ya kuongeza nguvu temporarily... Ila hii ni za mda mchache pale unapotaka tendo.
 
pole ndugu, ila unahtaji kusamehe na kuachilia mwili uwapo faragha, uongeze unywaji wa maji!
 
Mh! Unatafuna tu hiyo big g ya libido na nyetini kunaanza kutabasamu lol!

Sijawai tumia ila mrejesho wa wadada kwenye group unazisifia sana.
Ishu ya huyu dada haiitaji madawa ya kuongeza nguvu temporarily... Ila hii ni za mda mchache pale unapotaka tendo.
 
Je hauna vyeti feki Mkuu tuanzie hapo kwanza.
 
Mh! Unatafuna tu hiyo big g ya libido na nyetini kunaanza kutabasamu lol!
Ndio!!! Tenawanaume wengine wanawapa wasichana wao bila wao kujua [emoji23][emoji23][emoji23]
"Don't do this at home!"
 
Hi Ntigy!

1. How old are you?
2. Have you been doing mustarbation?
3. Make sure your man makes romance for not less than 45 minutes before he enters you.
4. Watch porn before sex.

All the best dear.
 
Mh! No more fore play! Just a libido big G will do 🙂

Ndio!!! Tenawanaume wengine wanawapa wasichana wao bila wao kujua [emoji23][emoji23][emoji23]
"Don't do this at home!"
 
Ok, naomba Mungu zinisaidie,maana hali ishakuwa tete.
Afadhali wewe umekua mkweli sio wengine wanasema Eti nina rafiki yangu ana tatizo la hivi na vile kumbe ndio yeye,Inshalah Mungu atakujaalia utapona na utafurahia raha kubwa kuliko zote duniani
 
Jitahidi kula vyakula asilia
Mihogo na viazi vya kuchemsha,mboga za majani kwa sana + matunda,ugali wa dona,epuka nyama za ng'ombe na sausage Mara kwa Mara
Pia ongeza kahawa,tangawizi+asali,bila kuacha supu ya pweza.

Punguza mawazo vilevile uwe na maandalizi ya kutosha b4 match
Km ikishindkana nitafute private
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…