Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Kunywa viagra
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna mambo mengine mwanadamu hawezi kuyatibu lakini Mungu pekee ndiye awezae kukuponyaWahenga walisema "Mficha uchi hazai". Jamani nisaidieni,mwenzenu sina hamu kabisa ya kufanya mapenzi. Hata niandaliwe vip au nijiandae kisaikolojia namna gani nabaki mkavu na sifurahii tendo la ndoa hata kidogo. Sio mpenzi wa picha za ngono, sio mlevi wala mvuta sigara, nakula vizuri, sina msongo wa mawazo, vipimo vinaonesha homoni ziko sawa lakini tatizo limekuwa sugu siku hadi siku. Nilienda hospitali sikupata msaada zaidi ya kushauriwa kutumia K-Y gel.
Ndugu zangu kama kuna anayejua matibabu au suluhisho la tatizo hili anisaidie kwani hii hali inanitesa sana. Asanteni!
Mkuu tafuta na Tonkat Ali au Ginseng.Yoyote kati ya hizo,hauto juta.Hiyo miti shamba ni hatari mkuu.Watu hawajui kuwa hizi supplements wenzetu magharibi wanameza za kila aina kwakuwa katika vyakula vyetu hivi vya kimjini haupati kila kitu.Mfano ni watu wangapi wanakula vyakula vyenye amino acid ya kutosha? Lakini ukila L-arginine 1000mg inakupatia hiyo amino acid mpaka ya ziada na utakuwa kama faru John, hata watu wa mazoezi au michezo inawafaa kwani mwili unapata nguvu za kutosha.Je zinapatikana hapa nchini?
Makadirio ya bei kwa chupa moja ni kiasi gani?
Kwa nje ya nchi naona ni nyingi.
Kwanza nikupe pole sana Dada yangu. Tatizo ulilonalo nahisi linachangiwa na kuzoeana sana na mpenzi wako na istoshe huoni kipya kwake ambacho kinaweza kukuamsha hisia zako.Wahenga walisema "Mficha uchi hazai". Jamani nisaidieni,mwenzenu sina hamu kabisa ya kufanya mapenzi. Hata niandaliwe vip au nijiandae kisaikolojia namna gani nabaki mkavu na sifurahii tendo la ndoa hata kidogo. Sio mpenzi wa picha za ngono, sio mlevi wala mvuta sigara, nakula vizuri, sina msongo wa mawazo, vipimo vinaonesha homoni ziko sawa lakini tatizo limekuwa sugu siku hadi siku. Nilienda hospitali sikupata msaada zaidi ya kushauriwa kutumia K-Y gel.
Ndugu zangu kama kuna anayejua matibabu au suluhisho la tatizo hili anisaidie kwani hii hali inanitesa sana. Asanteni!
Asante kwa ushauri wako,nitaufanyia kazi.Wanawake wengi sana wana tatizo hilo siku hizi. Anaweza kusema anakula vizuri kumbe anakula vibaya sana ila tu anakula nyama za mafuta, chipsi, mayai, kuku wa kizungu na mengine mengi. Dada sikiliza usinywe dawa yyt. Anza ratiba ya mazoezi asubuhi na jioni, pia badili milo yako. Halafu chukua swaum, kitunguu maji na asali blnd na kunywa nakuhakikishia utapona
Duh asikute atoa nyuma hahaha hatariUsikute unatoa nyuma, maana ukitoa nyuma hisia za mbele zinahamia nyuma huku mbele kukipoteza mawasiliano.
Pili usikute umekeketwa
Tatu usikute unayefanya nae ngono huna hisia nae za kimapenzi.
Mwisho km yote hayo huna kasoro nayo, majaaliwa kesho kazini nitawauliza madaktari wazoefu na specialist kwenye magonjwa ya uzazi then nitakuletea majibu.
Pia ningependa kujua hilo tatizo limekuanza lini??
ndio umeamua kumuelekeza hivyo mwenzako...???Tafuta supplements zinazoitwa Horny goat weed.Kisha utaleta mrejesho baada ya matumizi.
Tafuta supplements zinazoitwa Horny goat weed.Kisha utaleta mre
tumia na wewe basi,utoe ushuuda kwa wenzako wa jukwaani humu.......wafurahike na mshedede....Sijawai tumia ila mrejesho wa wadada kwenye group unazisifia sana.
Ishu ya huyu dada haiitaji madawa ya kuongeza nguvu temporarily... Ila hii ni za mda mchache pale unapotaka tendo.
Nishalijibu mkuu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ....we ushatafunaga... mpaka unatuonya...tusijaribu kwa kina mama chanja.....[emoji1] [emoji1] [emoji1]Ndio!!! Tenawanaume wengine wanawapa wasichana wao bila wao kujua [emoji23][emoji23][emoji23]
"Don't do this at home!"
Du, unapokuwa na shida yahitaji uvumilivu kwa baadhi ya maswali, suppose ana vyeti fake ....!Je hauna vyeti feki Mkuu tuanzie hapo kwanza.
kwani wewe unajua aliyepost kuomba msaada ni jinsia gani...???..kwa huo mchango wako mkuu...???Ebu Kunywa konyagi Changanya Na Dompo Zen Uwe Na mtt mzur Pemben Yako