Nina upungufu wa nguvu za kike, waungwana nisaidieni!

Asante sana kiongozi,nitafanya hivyo.
 
Pole sana Ntigy. Bila shaka tatizo lipo kwenye ufahamu wako(subconscious mind). Kuna kitu kunaitwa trapped emotions, inasumbua watu wengi sana duniani. Njoo PM.
 
Ntigy I hope unachambua ushauri wa kuufanyia kazi maana nyingine naona ni tango pori live.


Halafu, nje ya topic, huyu shemeji yetu ndo yule member wa JF uliyempata huku!??
Ni kweli nimepata ushauri mwingi,najua nitapata suluhisho baada ya kutumia baadhi ya mbinu nilizoshauriwa.
Ndio ni yeye mkuu!
 
Nashukuru kwa ushauri wako!
 
Pole sana dada nakushauli nenda kwenye maduka ya kisuna ununuwe dawa inayoitwa NYAVA VINA nizuli sana ina kwaupande wa mwanamke,kwaumezo wa allah itakusaidiya
 
Pole sana dada nakushauli nenda kwenye maduka ya kisuna ununuwe dawa inayoitwa NYAVA VINA nizuli sana ina kwaupande wa mwanamke,kwaumezo wa allah itakusaidiya
Asante kwa ushauri wako.
 
Nguvu za kike zipo mkuu
 
Kunywa maji moto nusu saa kabla ya mech. Isipozaa matunda kuna njia nzur kama huko uliko mnatengeneza juice ya ndizi Au pombe ya kienyeji. Nitakutajia vitu vya kuchanganya unywe. Hakika utaenjoy
 
Ilikuwa kabla ya kupigwa marufuku.
Pole sana najua unavyopata maumivu ila hata mm mke wangu alikuwa na tatizo hilo nilijitahidi katika maandalizi na sasa hv huwa anaridhika sana anakuwa wet hadi naogopa mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…