Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe alitakiwa abebe chakula bila kuweka kwenye sinia wakati anapima uzitoNaamini lile sinia ulilokuwa umeweka ugali hukulila!
Nenda ukamalizie kulila ndio upime tena, utakuta ongezeko!
Halafu pia sababu nyingine ni kwamba hukula ugali bali kaugali kadogo, zipo sababu nyingine kama kunywa maji, badala yake ulipaswa unywe walao gongo glass mbili au bia sita!
Vile vile hiyo nyama hujasema ilikuwa ya mnyama gani, kutoka sehemu gani ya mwili wake, ungesema ungepata ufafanuzi zaidi wa kitaalam!
Hapo factor nyingine zimebaki constant, kama kula kachumbari, uliiweka pilipili kweli?
Pia ukute sinia lina robo kiloUna maanisha kilo ya nyama ya ng'ombe ni tofauti na kilo ya mbuzi?
KwahiyoPia ukute sinia lina robo kilo
Watu wanakula vitumbua 60 huku mkoani sembuse kilo ya nyama!? Wanaume wa Dar mnashida sanaAcha uongo. Kilo na robo ya nyama unaweza kuila??
Litakuwa limeongeza uzito kwenye ile 81Kwahiyo
Swali umelielewa?Litakuwa limeongeza uzito kwenye ile 81
Haya basi ndugu tufanye sijaelewa, Kama vile unajibu kwa gubu, ngoja nijiondokee. Mimi nilikuwa najibu kawaida tu lkn mwenzangu unajibu kwa kunifokea.Swali umelielewa?
Gubu utakuwa nalo wewe! Sikukuelewa! Nimeuliza Kwanini kilo zilibaki 79 badala ya kuongezeka?Haya basi ndugu tufanye sijaelewa, Kama vile unajibu kwa gubu, ngoja nijiondokee. Mimi nilikuwa najibu kawaida tu lkn mwenzangu unajibu kwa kunifokea.
Nilimaanisha ulivyopima kilo pamoja na chakula ikawa 81 hapo kuna uzito kidogo wa sinia. Sasa wapi nimekosea ndugu hadi ushindwe kunielewesha tukaendelea na mada vizuri?
Am sorry.
Haya asante.Gubu utakuwa nalo wewe! Sikukuelewa! Nimeuliza Kwanini kilo zilibaki 79 badala ya kuongezeka?
Mwambie akiombeye pia kisiharibike akile kesho!Hizo ni maneno mkuu
Watu mnavituko sanaNaamini lile sinia ulilokuwa umeweka ugali hukulila!
Nenda ukamalizie kulila ndio upime tena, utakuta ongezeko!
Halafu pia sababu nyingine ni kwamba hukula ugali bali kaugali kadogo, zipo sababu nyingine kama kunywa maji, badala yake ulipaswa unywe walao gongo glass mbili au bia sita!
Vile vile hiyo nyama hujasema ilikuwa ya mnyama gani, kutoka sehemu gani ya mwili wake, ungesema ungepata ufafanuzi zaidi wa kitaalam!
Hapo factor nyingine zimebaki constant, kama kula kachumbari, uliiweka pilipili kweli?
Hapa ngoja tuwasubiri wataalamu wa kitengo cha mizani kutoka TANROADS watakuja na majibu