JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Kuna madkatri TZ wapumbavu kama hao waliokupima na mumeo yaaani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Asimwambie Mumewe Ataharibu Amani Ya Ndoa yake, maana Moyo wa Mwanaume Si Wa Kusamehe Virahisi, Kwahiyo asije Jaribu kutoa Siri Avumilie Maumivu yake na Ajaribu kusahau Kwamba Ana Maambukizi
Pole sana kwa changamoto hiyo Dada, naomba nikuulize, je unahisi uliipata wakati uko kwenye ndoa (kuchepuka) au kabla ya ndoa, au kwa njia yoyote ile, ukiweza kunijibu Fanya hivyo kuna ushauri nataka nikupe, hutonisahau.Mwanachama #001
Tafadhali ficha kitambulisho changu Mheshimiwa.
Najua nimemkosea Mungu na ubinadamu..pole pole napoteza akili yangu...sikutaka yoyote haya...Nina miaka 25, mama na mke , nina VVU lakini mume wangu hajui.
Tena wajinga kabisa hawajui kazi yao nyau hao wameshindwa kutumia taaluma yao kuwashauri vizurKuna madkatri TZ wapumbavu kama hao waliokupima na mumeo yaaani.
"wala sikua na hulka ya kubadilisha mashinee tofauti zinazoingia kwenye k*m* yangu"Mwanachama #001
Tafadhali ficha kitambulisho changu Mheshimiwa.
Najua nimemkosea Mungu na ubinadamu..pole pole napoteza akili yangu...sikutaka yoyote haya...Nina miaka 25, mama na mke , nina VVU lakini mume wangu hajui.
Unafikiri kwanini mpaka leo hajapata maambukizi wakati wewe ulishapata kitambo na unasex nae lakini hajapata mpaka sasa unaweza niambia sababu please ?Mwanachama #001
Tafadhali ficha kitambulisho changu Mheshimiwa.
Najua nimemkosea Mungu na ubinadamu..pole pole napoteza akili yangu...sikutaka yoyote haya...Nina miaka 25, mama na mke , nina VVU lakini mume wangu hajui.