Nina wasiwasi 99% kuwa Diamond na Zari wanatudanganya

Nina wasiwasi 99% kuwa Diamond na Zari wanatudanganya

Huwa nashindwa kujua umuhimu WA jf,celeb forum!kwani nini kinapaswa kupostiwa hapa????shida ya aliyeleta thread ikwapi?,,mana naona achambwa mwanzo mwisho!!,!,,!!kujadiliwa kwa celebs wakubwa Kama diamond,zari,na wengine ndio kazi ya hii forum!!,(iwe kwa ubaya ama kwa uzuri)..
 
Kwa walio wazuri katika kufikiria nina imani wameshaanza kustuka.....

Kama wazuri katika kufikiri ndo wanafikiri hivi, sitaki kuwa mmoja wao.
 
Ni muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari. Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!

Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!

Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mume wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!

Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.

Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
View attachment 470888
tapatalk_1488187541784.png
 
Ni muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari. Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!

Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!

Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mume wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!

Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.

Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
View attachment 470888
WE NAYE ?
 
Mapenzi ni yao kudanganywa tudanganywe sie! Hivi mfano ikiwa ni kweli wanatudanganya...inaleta madhara gani kwetu?
 
We hazikutosh kabisa unaweza kuigiza kulala na mke wa mtu kila cku
 
Mtoa Mazda huna kazi inaonekana maisha yako ni kufuatilia fulani kala nn anavaa nn.....amka tafuta au jiajiri uwe busy umbea sio dili
 
magufuli anasafari ndefu sana kufanikisha ndoto zake za tanzania ya viwanda kama vichwa vyenyewe ndomkama hivi anaviongoza ni shida aseee
 
We fala, wewe ungekuwa hutaki kujua ungecomment hapa!!?
We kiazi tafuta njia za kukuingizia kipato badala ya kupoteza muda wako kufuatilia maisha ya watu,umri unakwenda na hautorudi nyuma,wenzako wanawaza mambo ya kimaendeleo wewe unawaza kufuatilia mapenzi ya Diamond na Zari? Khaa! Huoni haya wewe?!! Try to mind ur own business.
 
Naona nimejikuta kwenye jukwaa la wanaume wenye mambo ya kike...mambo ya Diamond na Gold mimi ya nini!
 
Ni muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari. Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!

Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!

Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mume wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!

Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.

Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
fd6bc6492cca00ae38efb1a43a0a06bc.jpg
Wish I knew ur gender. Hata km ndio celebrities this is too much...na unaowachimba hivi hawajui km huku duniani kuna mtu km ww ila ww unajua kuwa they exist. Na hapo usikute hujawahi hata kuwaona...pole
 
Tanzania ya viwanda, NSSF wekezeni kwenye kiwanda cha majungu na ubuyu
 
Back
Top Bottom