Nina wasiwasi kwa Yanga kuchukua ubingwa

Nina wasiwasi kwa Yanga kuchukua ubingwa

Jbst

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
1,971
Reaction score
4,085
Mimi ni mwananchi ila kwa game 4 zilizobaki kuna uwezekano tukapoteza ubingwa kutokana na hesabu zamechi hizo.

Ktk game 4 zijazo ni game moja tu tutakayo cheza dhidi ya Dodoma ndo nyepesi na tupo nyumbani. Game dhidi ya singida tutakua away kumbuka Singida anatofautina na Azam point 1 tu hivo lazima wakaze ili kumaliza vizuri nafasi ya 3.

Game za Mbeya ni ngumu sana kutokana na pitch mbovu, hawa Mbeya City na Prison wana tofauti ya point ndogo sana na team zilizo ktk mstari wa kushuka daraja hivo basi game na Yanga ni muhimu sana kwao ili wasishuke.

Tukumbuke Simba game 4 za mwisho ni game moja tu ndo atakua away dhidi ya Namungo tena kwenye pitch safi hivo Simba hawezi poteza huko, game tatu zote dhidi Ruvu, Coastal na Polisi zitakua hapa Dar hivo kiuhalisia Yanga tuna wakati mgumu sana tuombe mambo yasiharibike.

Tena na hizi mvua ikitokea huko mkoani ndo hatari zaidi maana hivo viwanja mpira hautembei.
 
fbbae943-eb4f-4795-a7e2-de7b5032a42e.jpg
 
Mimi ni mwananchi ila kwa game 4 zilizobaki kuna uwezekano tukapoteza ubingwa kutokana na hesabu zamechi hizo.

Ktk game 4 zijazo ni game moja tu tutakayo cheza dhidi ya dodoma ndo nyepesi na tupo nyumbani. Game dhidi ya singida tutakua away kumbuka singida anatofautina na azam point 1 tu hivo lazima wakaze ili kumaliza vizuri nafasi ya 3.
Subiri mvua ya matusi
 
Mimi ni mwananchi ila kwa game 4 zilizobaki kuna uwezekano tukapoteza ubingwa kutokana na hesabu zamechi hizo.

Ktk game 4 zijazo ni game moja tu tutakayo cheza dhidi ya Dodoma ndo nyepesi na tupo nyumbani. Game dhidi ya singida tutakua away kumbuka Singida anatofautina na Azam point 1 tu hivo lazima wakaze ili kumaliza vizuri nafasi ya 3.


Tena na hizi mvua ikitokea huko mkoani ndo hatari zaidi maana hivo viwanja mpira hautembei.
Gsm atavunja kibubu usijali pesa itatembea tu lazima ubigwa..
 
Kocha wa Yanga atafutiwe mtaalam wa saikolojia hayupo sawa yule mzee akifungwa anapagawa kabisa alisahau aliwafunga AZAM goli la dhulma hakusema kwamba referee awe professional leo kibao kimegeuka yeye ndio anataka watu wawe professional amesahau dhulma alizofanyia wenzake
 
Yangwa lengo letu NI ubingwa tu hayo mengine waachie wazee wa robo Fainali
Hakuna cha ajabu hapo, kama wao wamekaa misimu minne Bila ubingwa, yaani mtoto anaanza kidato cha kwanza mpaka cha nne timu haijanusa ubingwa, lazima wagawe bahasha ili wachukue, tunajua mbinu zao wanasiasa, lazima timu moja idhoofishwe ili moja iwe juu, "wao ndo wanashindana na Hawa na wala si Hawa kushindana na wale"
 
Hakuna cha ajabu hapo, kama wao wamekaa misimu minne Bila ubingwa, yaani mtoto anaanza kidato cha kwanza mpaka cha nne timu haijanusa ubingwa, lazima wagawe bahasha ili wachukue, tunajua mbinu zao wanasiasa, lazima timu moja idhoofishwe ili moja iwe juu, "wao ndo wanashindana na Hawa na wala si Hawa kushindana na wale"
Tulia dawa ikuingie...
Unazani kama mnavomuhonga Yule mama yenu wa Jana awape magoli ya offside na mipira iliyotoka nje n wote?
Lengo la Yanga ni ubingwa tu nyie mkiishia robo Fainali inawatosha
 
Makolo waki pigwa za kutosha na wydad lazima warudi waliko toka wapoteane kwanza
 
Tulia dawa ikuingie...
Unazani kama mnavomuhonga Yule mama yenu wa Jana awape magoli ya offside na mipira iliyotoka nje n wote?
Lengo la Yanga ni ubingwa tu nyie mkiishia robo Fainali inawatosha
Uzuri "BM" alishawambia, Chuo cha mpira kiko wapi, nadhani bado una maumivu, Aliyekua kupoteza na kupata ni kawaida tu, siyo kujiaminisha timu ni nzuri kumbe ni fluke tu.
 
Uzuri "BM" alishawambia, Chuo cha mpira kiko wapi, nadhani bado una maumivu, Aliyekua kupoteza na kupata ni kawaida tu, siyo kujiaminisha timu ni nzuri kumbe ni fluke tu.
Ndo maana narudi palepale nyie endeleeni kua Choo sijui chuo Sisi Yanga ni Ubingwa tu ndo hua lengo letu Mengine tumewaachia nyie wazee wa Kujisifu
 
Back
Top Bottom