Nina wasiwasi kwa Yanga kuchukua ubingwa

Nina wasiwasi kwa Yanga kuchukua ubingwa

Ndo maana narudi palepale nyie endeleeni kua Choo sijui chuo Sisi Yanga ni Ubingwa tu ndo hua lengo letu Mengine tumewaachia nyie wazee wa Kujisifu
Kumbuka una mechi 2 kule kwenye majaruba ya mpunga, ambako Ihefu alikutemesha "bungo"
 
Gsm atavunja kibubu usijali pesa itatembea tu lazima ubigwa..
Cha msingi waendelee na hesabu zao za kila mechi wanafunga goli.

Wakifika kwenye mechi na Simba lazima tu reset the whole calculation to the default
 
Tulia dawa ikuingie...
Unazani kama mnavomuhonga Yule mama yenu wa Jana awape magoli ya offside na mipira iliyotoka nje n wote?
Lengo la Yanga ni ubingwa tu nyie mkiishia robo Fainali inawatosha

Basi tufanye moja bila
 
Hapanaaa Yanga atakua bingwa, GSM atatembeza bahasha hadi marefa wasemee inatoshaaa.
 
Mimi ni mwananchi ila kwa game 4 zilizobaki kuna uwezekano tukapoteza ubingwa kutokana na hesabu zamechi hizo.

Ktk game 4 zijazo ni game moja tu tutakayo cheza dhidi ya Dodoma ndo nyepesi na tupo nyumbani. Game dhidi ya singida tutakua away kumbuka Singida anatofautina na Azam point 1 tu hivo lazima wakaze ili kumaliza vizuri nafasi ya 3.

Game za Mbeya ni ngumu sana kutokana na pitch mbovu, hawa Mbeya City na Prison wana tofauti ya point ndogo sana na team zilizo ktk mstari wa kushuka daraja hivo basi game na Yanga ni muhimu sana kwao ili wasishuke.

Tukumbuke Simba game 4 za mwisho ni game moja tu ndo atakua away dhidi ya Namungo tena kwenye pitch safi hivo Simba hawezi poteza huko, game tatu zote dhidi Ruvu, Coastal na Polisi zitakua hapa Dar hivo kiuhalisia Yanga tuna wakati mgumu sana tuombe mambo yasiharibike.

Tena na hizi mvua ikitokea huko mkoani ndo hatari zaidi maana hivo viwanja mpira hautembei.
jana tungeshinda tu. tungekuwa mabingwa, hii inaashiria nn?
 
Screenshot_20230417-144504_WhatsApp.jpg
 
Kocha wa yanga atafutiwe mtaalam wa saikolojia hayupo sawa yule mzee akifungwa anapagawa kabisa alisahau aliwafunga AZAM goli la dhulma hakusema kwamba referee awe professional leo kibao kimegeuka yeye ndio anataka watu wawe professional amesahau dhulma alizofanyia wenzake
ASA MTU ANACHEZA MECHI 50 HAFUNGWI SIKU AKIFUNGWA LAZMA AWE VILE
 
Mimi ni mwananchi ila kwa game 4 zilizobaki kuna uwezekano tukapoteza ubingwa kutokana na hesabu zamechi hizo.

Ktk game 4 zijazo ni game moja tu tutakayo cheza dhidi ya Dodoma ndo nyepesi na tupo nyumbani. Game dhidi ya singida tutakua away kumbuka Singida anatofautina na Azam point 1 tu hivo lazima wakaze ili kumaliza vizuri nafasi ya 3.

Game za Mbeya ni ngumu sana kutokana na pitch mbovu, hawa Mbeya City na Prison wana tofauti ya point ndogo sana na team zilizo ktk mstari wa kushuka daraja hivo basi game na Yanga ni muhimu sana kwao ili wasishuke.

Tukumbuke Simba game 4 za mwisho ni game moja tu ndo atakua away dhidi ya Namungo tena kwenye pitch safi hivo Simba hawezi poteza huko, game tatu zote dhidi Ruvu, Coastal na Polisi zitakua hapa Dar hivo kiuhalisia Yanga tuna wakati mgumu sana tuombe mambo yasiharibike.

Tena na hizi mvua ikitokea huko mkoani ndo hatari zaidi maana hivo viwanja mpira hautembei.
Ushindwe kuwa na wasi wasi na Simba inayo zidiwa points 5 una pata na wasi wasi na Yanga
 
Huo uwanja ni mpya kwetu? Mwaka jana tulichukua ubingwa mechi zote tuli cheza dar?
Yanayotokea kwa Arsenal unayafuatilia lakini?? Mwenzio jana Dr Matola PhD kasema mpira una matokeo matatu, kushinda, kushindwa na kutoka sare, ila wewe unaonesha kama vile mpira una matokeo ya aina moja tu, yaani Yanga kushinda!!
 
Mimi ni mwananchi ila kwa game 4 zilizobaki kuna uwezekano tukapoteza ubingwa kutokana na hesabu zamechi hizo.

Ktk game 4 zijazo ni game moja tu tutakayo cheza dhidi ya Dodoma ndo nyepesi na tupo nyumbani. Game dhidi ya singida tutakua away kumbuka Singida anatofautina na Azam point 1 tu hivo lazima wakaze ili kumaliza vizuri nafasi ya 3.

Game za Mbeya ni ngumu sana kutokana na pitch mbovu, hawa Mbeya City na Prison wana tofauti ya point ndogo sana na team zilizo ktk mstari wa kushuka daraja hivo basi game na Yanga ni muhimu sana kwao ili wasishuke.

Tukumbuke Simba game 4 za mwisho ni game moja tu ndo atakua away dhidi ya Namungo tena kwenye pitch safi hivo Simba hawezi poteza huko, game tatu zote dhidi Ruvu, Coastal na Polisi zitakua hapa Dar hivo kiuhalisia Yanga tuna wakati mgumu sana tuombe mambo yasiharibike.

Tena na hizi mvua ikitokea huko mkoani ndo hatari zaidi maana hivo viwanja mpira hautembei.
Mkuu hebu ondoa wasiwasi, huo ndio ukweli wenyewe sasa. Anza kuuzoea mapema usije ukafa kwa presha.

Mwaka huu uto anamaliza bila kombe wala kijiko
 
Back
Top Bottom