Nina wasiwasi kwa Yanga kuchukua ubingwa

Nina wasiwasi kwa Yanga kuchukua ubingwa

Mkuu hebu ondoa wasiwasi, huo ndio ukweli wenyewe sasa. Anza kuuzoea mapema usije ukafa kwa presha.

Mwaka huu uto anamaliza bila kombe wala kijiko
Wakisikia hivi wanatukana kimoyomoyo.
 
Yanayotokea kwa Arsenal unayafuatilia lakini?? Mwenzio jana Dr Matola PhD kasema mpira una matokeo matatu, kushinda, kushindwa na kutoka sare, ila wewe unaonesha kama vile mpira una matokeo ya aina moja tu, yaani Yanga kushinda!!
Okay kwahio hayo matokeo yapo upande mmoja tu? wakati Yanga anapoteza Simba yeye ana shinda tu?
 
Mimi ni mwananchi ila kwa game 4 zilizobaki kuna uwezekano tukapoteza ubingwa kutokana na hesabu zamechi hizo.

Ktk game 4 zijazo ni game moja tu tutakayo cheza dhidi ya Dodoma ndo nyepesi na tupo nyumbani. Game dhidi ya singida tutakua away kumbuka Singida anatofautina na Azam point 1 tu hivo lazima wakaze ili kumaliza vizuri nafasi ya 3.

Game za Mbeya ni ngumu sana kutokana na pitch mbovu, hawa Mbeya City na Prison wana tofauti ya point ndogo sana na team zilizo ktk mstari wa kushuka daraja hivo basi game na Yanga ni muhimu sana kwao ili wasishuke.

Tukumbuke Simba game 4 za mwisho ni game moja tu ndo atakua away dhidi ya Namungo tena kwenye pitch safi hivo Simba hawezi poteza huko, game tatu zote dhidi Ruvu, Coastal na Polisi zitakua hapa Dar hivo kiuhalisia Yanga tuna wakati mgumu sana tuombe mambo yasiharibike.

Tena na hizi mvua ikitokea huko mkoani ndo hatari zaidi maana hivo viwanja mpira hautembei.
Ww sio mwananchi Kam kocha kasema anachukua ubingwa na ww huamini ww ni kolo
 
Yanga sio Azam wala Namungo. Kufungwa jana na makolo haiwezi kupelekea kupoteza uelekeo wa kuchukua ubingwa wa NBC PL na hata FA.
Yanga atafungwa na Singida big stars halafu atatoka sare na Prisons hivyo kupoteza pointi 5. Simba atashinda mechi zote nne, hivyo watalingana pointi. Simba ana magoli mengi na amefungwa kidogo! Hivyo Simba atabeba ndoo!!
 
Achukue Ubingwa Ila Siyo Eti Afunge Simba Ambaye Inajulikana Pamoja Na Utani Wa Jadi Wana Viwango Tofauti Simba Ikiwa Bora Bora Sana
 
Yanga atafungwa na Singida big stars halafu atatoka sare na Prisons hivyo kupoteza pointi 5. Simba atashinda mechi zote nne, hivyo watalingana pointi. Simba ana magoli mengi na amefungwa kidogo! Hivyo Simba atabeba ndoo!!
Ikiwa Hivyo GSM Atakimbia Mbali
 
Yanga atafungwa na Singida big stars halafu atatoka sare na Prisons hivyo kupoteza pointi 5. Simba atashinda mechi zote nne, hivyo watalingana pointi. Simba ana magoli mengi na amefungwa kidogo! Hivyo Simba atabeba ndoo!!
Hahahaaa.. Endelea kuota hii dunia ya sasa watu kama wewe mtaishi kwa tabu sana
 
Siku nyingi sana zinaongelewa BAHASHA za GSM, ila sijawahi kuona HATA MTU MMOJA aliyewahi kutoa uthibitisho wa hizo bahasha…!! Na binafsi naamini wengi wanaongea kwa either kufuata mkumbo wa wachache humu, au kwa kufuata maneno ya akina Ahmed Ally…!!!

Hahahaahahaha….!!!
 
Kuna jamaa anaitwa Tate Mkuu anachukia hadi tangazo la Azam tv.

Azam Tv.......Burudani kwa Wote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kila akisikia hili tangazo anamuona Kibu Dii akipeleka fataki ya mauaji kwa Diara

Hv fataki la Aziz Ki kwa Manula lilikuwaje vile???
 
Ww sio mwananchi Kam kocha kasema anachukua ubingwa na ww huamini ww ni kolo
Me sio mjinga kama ww usiyeufahamu mpira, mimi nimeandika vitu vya uhalisia hapo kwamba kutokana na mechi zilizobaki na aina za viwanja.

Ww unaongea pumba
 
Mimi ni mwananchi ila kwa game 4 zilizobaki kuna uwezekano tukapoteza ubingwa kutokana na hesabu zamechi hizo.

Ktk game 4 zijazo ni game moja tu tutakayo cheza dhidi ya Dodoma ndo nyepesi na tupo nyumbani. Game dhidi ya singida tutakua away kumbuka Singida anatofautina na Azam point 1 tu hivo lazima wakaze ili kumaliza vizuri nafasi ya 3.

Game za Mbeya ni ngumu sana kutokana na pitch mbovu, hawa Mbeya City na Prison wana tofauti ya point ndogo sana na team zilizo ktk mstari wa kushuka daraja hivo basi game na Yanga ni muhimu sana kwao ili wasishuke.

Tukumbuke Simba game 4 za mwisho ni game moja tu ndo atakua away dhidi ya Namungo tena kwenye pitch safi hivo Simba hawezi poteza huko, game tatu zote dhidi Ruvu, Coastal na Polisi zitakua hapa Dar hivo kiuhalisia Yanga tuna wakati mgumu sana tuombe mambo yasiharibike.

Tena na hizi mvua ikitokea huko mkoani ndo hatari zaidi maana hivo viwanja mpira hautembei.
Ya Singida mtashinda. Lile Ni tawi lenu. Yanga B.

Yule Singida yuko radhi hata kushuka daraja ili Yanga isipoteze.

Si mnakumbuka Ile zawadi ya mechi ya kwanza waliyopeana.
 
Usijali hata yanga akidraw mechi 2 na kushinda mbili bado ni bingwa hakuna namna labda Simba waongezewe mechi mbili mbele TOFAUTI na wenzao.
 
Back
Top Bottom