Kumbuka una mechi 2 kule kwenye majaruba ya mpunga, ambako Ihefu alikutemesha "bungo"Ndo maana narudi palepale nyie endeleeni kua Choo sijui chuo Sisi Yanga ni Ubingwa tu ndo hua lengo letu Mengine tumewaachia nyie wazee wa Kujisifu
Baada ya hizo mechi mtakua mnawalaumu marefa...Kumbuka una mechi 2 kule kwenye majaruba ya mpunga, ambako Ihefu alikutemesha "bungo"
Cha msingi waendelee na hesabu zao za kila mechi wanafunga goli.Gsm atavunja kibubu usijali pesa itatembea tu lazima ubigwa..
Hatutawalaumu kwasababu tumeshawazoeaBaada ya hizo mechi mtakua mnawalaumu marefa...
Mara nyingi tumebebea ubingwa huko...
Sisi Yanga tunachowaza ni ubingwa tu
Tulia dawa ikuingie...
Unazani kama mnavomuhonga Yule mama yenu wa Jana awape magoli ya offside na mipira iliyotoka nje n wote?
Lengo la Yanga ni ubingwa tu nyie mkiishia robo Fainali inawatosha
jana tungeshinda tu. tungekuwa mabingwa, hii inaashiria nn?Mimi ni mwananchi ila kwa game 4 zilizobaki kuna uwezekano tukapoteza ubingwa kutokana na hesabu zamechi hizo.
Ktk game 4 zijazo ni game moja tu tutakayo cheza dhidi ya Dodoma ndo nyepesi na tupo nyumbani. Game dhidi ya singida tutakua away kumbuka Singida anatofautina na Azam point 1 tu hivo lazima wakaze ili kumaliza vizuri nafasi ya 3.
Game za Mbeya ni ngumu sana kutokana na pitch mbovu, hawa Mbeya City na Prison wana tofauti ya point ndogo sana na team zilizo ktk mstari wa kushuka daraja hivo basi game na Yanga ni muhimu sana kwao ili wasishuke.
Tukumbuke Simba game 4 za mwisho ni game moja tu ndo atakua away dhidi ya Namungo tena kwenye pitch safi hivo Simba hawezi poteza huko, game tatu zote dhidi Ruvu, Coastal na Polisi zitakua hapa Dar hivo kiuhalisia Yanga tuna wakati mgumu sana tuombe mambo yasiharibike.
Tena na hizi mvua ikitokea huko mkoani ndo hatari zaidi maana hivo viwanja mpira hautembei.
acha bias,unasema yanga atapoteza,na wakati huo huo unasema Simba hata poteza,unatumia kigezo Gani huyu afungwe yule lazima ashinde
ASA MTU ANACHEZA MECHI 50 HAFUNGWI SIKU AKIFUNGWA LAZMA AWE VILEKocha wa yanga atafutiwe mtaalam wa saikolojia hayupo sawa yule mzee akifungwa anapagawa kabisa alisahau aliwafunga AZAM goli la dhulma hakusema kwamba referee awe professional leo kibao kimegeuka yeye ndio anataka watu wawe professional amesahau dhulma alizofanyia wenzake
Mechi mbili atashinda moja draw moja anafungwa. Simba anashinda zote ubingwa anachukuwa kutokana na kuwa na magoli mengi ya kufungaSingida atafungwa kwa maelekezo na atanunua mechi kadhaa
Inawezekana tukachukua point zoteKwa hesabu za uhalisia zilivo ubingwa bado sana
Ushindwe kuwa na wasi wasi na Simba inayo zidiwa points 5 una pata na wasi wasi na YangaMimi ni mwananchi ila kwa game 4 zilizobaki kuna uwezekano tukapoteza ubingwa kutokana na hesabu zamechi hizo.
Ktk game 4 zijazo ni game moja tu tutakayo cheza dhidi ya Dodoma ndo nyepesi na tupo nyumbani. Game dhidi ya singida tutakua away kumbuka Singida anatofautina na Azam point 1 tu hivo lazima wakaze ili kumaliza vizuri nafasi ya 3.
Game za Mbeya ni ngumu sana kutokana na pitch mbovu, hawa Mbeya City na Prison wana tofauti ya point ndogo sana na team zilizo ktk mstari wa kushuka daraja hivo basi game na Yanga ni muhimu sana kwao ili wasishuke.
Tukumbuke Simba game 4 za mwisho ni game moja tu ndo atakua away dhidi ya Namungo tena kwenye pitch safi hivo Simba hawezi poteza huko, game tatu zote dhidi Ruvu, Coastal na Polisi zitakua hapa Dar hivo kiuhalisia Yanga tuna wakati mgumu sana tuombe mambo yasiharibike.
Tena na hizi mvua ikitokea huko mkoani ndo hatari zaidi maana hivo viwanja mpira hautembei.
Huo uwanja ni mpya kwetu? Mwaka jana tulichukua ubingwa mechi zote tuli cheza dar?Kumbuka una mechi 2 kule kwenye majaruba ya mpunga, ambako Ihefu alikutemesha "bungo"
Wewe hunaga akiliSingida atafungwa kwa maelekezo na atanunua mechi kadhaa
Mara nyingi ndiyo mara ngapi!!??Mara nyingi tumebebea ubingwa huko...
Yanayotokea kwa Arsenal unayafuatilia lakini?? Mwenzio jana Dr Matola PhD kasema mpira una matokeo matatu, kushinda, kushindwa na kutoka sare, ila wewe unaonesha kama vile mpira una matokeo ya aina moja tu, yaani Yanga kushinda!!Huo uwanja ni mpya kwetu? Mwaka jana tulichukua ubingwa mechi zote tuli cheza dar?
Mkuu hebu ondoa wasiwasi, huo ndio ukweli wenyewe sasa. Anza kuuzoea mapema usije ukafa kwa presha.Mimi ni mwananchi ila kwa game 4 zilizobaki kuna uwezekano tukapoteza ubingwa kutokana na hesabu zamechi hizo.
Ktk game 4 zijazo ni game moja tu tutakayo cheza dhidi ya Dodoma ndo nyepesi na tupo nyumbani. Game dhidi ya singida tutakua away kumbuka Singida anatofautina na Azam point 1 tu hivo lazima wakaze ili kumaliza vizuri nafasi ya 3.
Game za Mbeya ni ngumu sana kutokana na pitch mbovu, hawa Mbeya City na Prison wana tofauti ya point ndogo sana na team zilizo ktk mstari wa kushuka daraja hivo basi game na Yanga ni muhimu sana kwao ili wasishuke.
Tukumbuke Simba game 4 za mwisho ni game moja tu ndo atakua away dhidi ya Namungo tena kwenye pitch safi hivo Simba hawezi poteza huko, game tatu zote dhidi Ruvu, Coastal na Polisi zitakua hapa Dar hivo kiuhalisia Yanga tuna wakati mgumu sana tuombe mambo yasiharibike.
Tena na hizi mvua ikitokea huko mkoani ndo hatari zaidi maana hivo viwanja mpira hautembei.