Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,728
Inapotokea inawekwa mada ya Kiingereza humu kwenye majukwaa, basi inasusiwa kama Bunge la katiba na UKAWA! Mada hiyo hiyo ikiwekwa kwa lugha ya Kiswahili, basi watu wataichangamkia kama posho, kuisoma kwa wingi na kuweka maoni yao...
Hili linanitia wasi wasi na elimu za wana JF wengi ambao wanajifanya wana tu bachelor, na wengine hata wakishindanisha vyuo vyao kwa kusema ukisoma chuo flani hufi njaa!
Naombeni mnijuze wana MMU kama lugha ya malkia ni sheedah au ni hulka tu.
Naona wengi wameanza kuja kwa jazba: But the reality, haya mambo ya kukimbia umande lugha ya Malkia ndio maana tunaingizwa mikataba mibovu coz wataaalam wengi wanapata shida ya kuitetea nchi kwa kutumia yai...
Hili linanitia wasi wasi na elimu za wana JF wengi ambao wanajifanya wana tu bachelor, na wengine hata wakishindanisha vyuo vyao kwa kusema ukisoma chuo flani hufi njaa!
Naombeni mnijuze wana MMU kama lugha ya malkia ni sheedah au ni hulka tu.
Naona wengi wameanza kuja kwa jazba: But the reality, haya mambo ya kukimbia umande lugha ya Malkia ndio maana tunaingizwa mikataba mibovu coz wataaalam wengi wanapata shida ya kuitetea nchi kwa kutumia yai...