Nina wasiwasi na mke wangu...

Dah, pole sana.
Hapo umepigwa ndugu.
Hakuna cha safari ya Dodoma wala Singida, mkeo yupo hapo hapo Dar anapigwa miti kwa kwenda mbele.

Daah nitajua tu mwishowake mkuu ubaya haufichiki kiongoz
 
Mashemeji zako wanamuita mkeo bila kukupigia simu wewe na kukuomba ruhusa kuwa wanamuhitaji mkeo?

Sijawahi kuona hili

Nilimuacha aende ili nije kumuoji vizur nini shida ya huko mkuu
 
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.. Too much upole wako ndo maana mkeo kakupanda kichwani, sisemi katoka kuliwa ila ukionganisha dots hata kama hujui kusoma ila picha utaiona

Pole sana mkuu, usikuchukue tu maamuzi magumu ya kuua, yakikuzidia mpe red card maisha mengine yaendelee.
 
Mzee tatizo ni wewe kwenye hiyo ndoa. Wakwe au mashemeji watamuitaje ndugu yao bila kupitia kwako?

Story yako naiona ni chai na hauko serious. Nikupe tu mfano mmoja jana nime drive Dar to Dom nilitoka saa tano nimefika saa mbili na robo usiku na waliopanda Shabiby walifika saa nne. Mkeo kaondoka saa saba kafika saa mbili usiku ni ngumu. Kama story yako ni kweli haustahili kuwa mume
 
Unasema ni Wife alafu unasema humchunguzi. Wewe nj Mpumbavu kweli wewe. Wife ni tofauti na Mchumba unayekaa nae tu, au ni tofauti na Kidemu unachoishi nacho. Mchumba au Demu wa kawaida unaweza usimchunguze kwasababu hujamuoa kwahiyo huna Mamlaka nae.

Bro! Mke anauma unatakiwa umchunguze na umuwekee mipaka. Narudia tena unatakiwa umchunguze japo kuna wapuuzi wanasema Mwanamke hachunguziki akitaka kufanya anafanya tu, ni bora umchunguze ujue ili akizingua Kama mnaachana muachane kiroho safi.
 
Aisee labda mimi ni dikteta, ndugu zake hata wazazi wake wakiwa wanamuhitaji hunipigia mimi kuniomba nimruhusu aende.
 
Huyo ni mkeo kabisa au ni mnaishi kishkaji tu?
Namaanisha ndugu zake wanakutambua?
Hao ndugu zake wa Dodoma na wa Singida unawajua na wanakujua na una mawasiliano yao?
Je uliongea nao kujiridhisha kama kweli wanamuhitaji aende?
Maswali ninayo mengi ila jibu kwanza hayo tujue pa kuanzia
 
Shemeji alipaswa kukupigia na kukuomba wewe umruhusu mkeo. Ujachelewa sana simama imara
 
Hao dada zake unawajua?
Na uliongea nao hata kwa simu kupata ukweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…