Nina wasiwasi na mke wangu...

Nina wasiwasi na mke wangu...

Unasema ni Wife alafu unasema humchunguzi. Wewe nj Mpumbavu kweli wewe. Wife ni tofauti na Mchumba unayekaa nae tu, au ni tofauti na Kidemu unachoishi nacho. Mchumba au Demu wa kawaida unaweza usimchunguze kwasababu hujamuoa kwahiyo huna Mamlaka nae.

Bro! Mke anauma unatakiwa umchunguze na umuwekee mipaka. Narudia tena unatakiwa umchunguze japo kuna wapuuzi wanasema Mwanamke hachunguziki akitaka kufanya anafanya tu, ni bora umchunguze ujue ili akizingua Kama mnaachana muachane kiroho safi.

Sawa mkuu nimekuelewa shukrani
 
Mimi ni mwanamke,na alichokifanys huyo dada sio sawa na Kuna uwezekano mkubwa Sana kwamba anamdanganya mumewe Wala hakuitwa na ndugu zake Kama alivyosema,ninachomshauri huyo Kaka Kama ana namba za huyo dada yake mmoja(shemeji) ampigie simu amuulize kuwa mkewe anarudi lini,ajifanye hajui chochote,au mbinu nyingine yyte itakayomfanya huyo shemeji yake ajue kuwa mdogo wake hakuwa nyumbani,japo wakati mwingine huwa wamepanga yy na dada yake,na inawezekana ndo anamuuza mdogo wake,but anyway hebu jaribu kufanya hivyo usikie majibu yake,pole Sana mkuu
 
Mimi ni mwanamke,na alichokifanys huyo dada sio sawa na Kuna uwezekano mkubwa Sana kwamba anamdanganya mumewe Wala hakuitwa na ndugu zake Kama alivyosema,ninachomshauri huyo Kaka Kama ana namba za huyo dada yake mmoja(shemeji) ampigie simu amuulize kuwa mkewe anarudi lini,ajifanye hajui chochote,au mbinu nyingine yyte itakayomfanya huyo shemeji yake ajue kuwa mdogo wake hakuwa nyumbani,japo wakati mwingine huwa wamepanga yy na dada yake,na inawezekana ndo anamuuza mdogo wake,but anyway hebu jaribu kufanya hivyo usikie majibu yake,pole Sana mkuu
Halafu akishajuwa ukweli anafanyaje?
 
Jinsi inavyoonekana mke wako anakumudu na huna sauti kwake,
Yaani mke wako anasafiri bila ruhusa yako ?
Kama ndugu zake wanashida naye inatakiwa wakujulishe wewe , huyo yupo chini yako mkuu na wewe ndio utoe ruhusa .
Kwa hiyo umeshindwa hata kuwapigia hao ndugu zake kujua kuna nini , kisa hutaki kumfatilia aisee
Kwel wewe ni mwanaume dhaifu
Mkuu hujasoma kwa kutulia, ni kwamba mke hajaondoka bila ruhusa ila jamaa mistake aliyoifanya ni kumruhusu mkewe bila kujiridhisha umuhimu wa hiyo safar..na ndani ya hii safar Kuna mapicha picha mengi ambayo yanaongeza sintofahamu. Dah...pole kwa jamaa japo mzembe flani iv
 
Huyo ni mkeo kabisa au ni mnaishi kishkaji tu?
Namaanisha ndugu zake wanakutambua?
Hao ndugu zake wa Dodoma na wa Singida unawajua na wanakujua na una mawasiliano yao?
Je uliongea nao kujiridhisha kama kweli wanamuhitaji aende?
Maswali ninayo mengi ila jibu kwanza hayo tujue pa kuanzia

Nikweli wananijua wote lakini hii safari ni mimi ndo nimeitilia mashaka mkuu
 
Hao dada zake unawajua?
Na uliongea nao hata kwa simu kupata ukweli?

Nawajua ni shemeji zangu nafikiri nilipokosea nipale nilipo hitaji aende kwanza then ndo akirud nimkalishe chini anieleze kwa kina kulikuwa na shida gani sikumuacha tu aende ila nilikuwa nina mahesabu kichwani pia
 
Nahisi hili jamaa litakuwa bonge halafu limekulia familia ya kishua yaani ni lizembe lizembe flani hivi sio kama watoto tuliokulia uswazi vichwa vimekomaa!
Hivi badala hao ndugu wakupigie wewe kumuombea ruhusa mkeo aende eti wanampigia mkeo bila kukushirikisha wewe halafu bado unajiita mume?
Ama kweli uchawi upo!.
Subiri tu kuletewa jamaa hapo kwako utambulishwe kwamba ni anko wake amekuja mjini kuonana na specialist wa magonjwa ya moyo then ukienda kazini jamaa linaingia chumbani kwako linamto mba mkeo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sawa mkuu shukrani
 
Back
Top Bottom