Amini ninachokuambia huyo itakuwa kweli aliitwa ila hapo dodoma ndo alikuwa na mishe zake na uchafu wote alifanyia dodoma,Nikweli walikuwa na shida nae lakini nahsi kaka hiyo safari kuna kitu pia ukiachana na kwenda kwa dadazake
Kwani nyie makazi yenu ni wapi ilitujue sababu za yeye kulala dodoma kwa kukosa usafiri. ila nawewe ni kinyembe kweli alipokuambia kafika singida kwa dada zake kwanini usinge wasalimia dadazake kama wako naye home
Ili usiwaze sana kuwa na imani kuwa "mwanamke mwema hujilinda mwenyewe".
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama awe shetani...azae mtoto malaika. Inawezekana kweli?Pole sana kaka ! Wanawake ni mashetani
Mimi ni mwanamke,na alichokifanys huyo dada sio sawa na Kuna uwezekano mkubwa Sana kwamba anamdanganya mumewe Wala hakuitwa na ndugu zake Kama alivyosema,ninachomshauri huyo Kaka Kama ana namba za huyo dada yake mmoja(shemeji) ampigie simu amuulize kuwa mkewe anarudi lini,ajifanye hajui chochote,au mbinu nyingine yyte itakayomfanya huyo shemeji yake ajue kuwa mdogo wake hakuwa nyumbani,japo wakati mwingine huwa wamepanga yy na dada yake,na inawezekana ndo anamuuza mdogo wake,but anyway hebu jaribu kufanya hivyo usikie majibu yake,pole Sana mkuu
Mkuu hujasoma kwa kutulia, ni kwamba mke hajaondoka bila ruhusa ila jamaa mistake aliyoifanya ni kumruhusu mkewe bila kujiridhisha umuhimu wa hiyo safar..na ndani ya hii safar Kuna mapicha picha mengi ambayo yanaongeza sintofahamu. Dah...pole kwa jamaa japo mzembe flani iv
Dada zake walipaswa kukupigia wewe kuomba ruhusa mdogo wao aende. Na akifika ujue ni kweli yuko na dada zake. Otherwise binafsi nakuona hauko imara, unapigiwa kizembe sana.Mkuu nilimruhusu sababu yakusema ameitwa na dadazake but haijulikani nini shida kwakuwa ni familia yake nikamruhu aende ili tujue nini shida huko